Ushuhuda: Namna nilivyoacha punyeto, sigara na betting moja kwa moja

Ushuhuda: Namna nilivyoacha punyeto, sigara na betting moja kwa moja

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Katika hii dunia ya sasa vilevi ni vingi mno na unahitaji umakini mkubwa sana maan aukangukia kwenye uraibu basi utapoteza vingi sana.

Nikiwa kama kijana, nimekuwa mmoja wapo waliokumbwa na uribu wa vilevi vitatu ambavyo ni Punyeto, betting na sigara.

PUNYETO - Nlianza kimasihara masihara kupiga wakati nipo form 2, hapa ilikuwa kwa siri kidogo maana sikuwa na privay sana, ila nilipoingia form 5 hadi 6 abia ilizidi maana chumba nacholalala niliuwa peke yangu, kabla sijalala lazima nistue kamoja, Nilipoingia chuo nilikuwa nina madem kitu kilichokua mbadala wa hii tabia lakini bado kuna wakati inatokea dem hapatikani, tumezinguna ama yupo period hapo nlikuwa narudi kunyetoka tu, Uraibu ndio ulipungua ila sikuuacha, nlivomaliza chuo nikaanza kukerwa na hii tabia, nikaanza kujaribu kuacha kwa wiki, yani siku ya 4 gari limewaka, nikijaribu kuacha kwa mwezi hata simalizi wiki 2 kitu imo, nilichofanya ni kuchukua maamuzi) toka moyoni kabisa nikasema kuanzia sasa basi, sitaki tena yani, sio kwa wiki au mwezi bali sitaki tena, mkataba umeisha yani, Kweli Nikaweza na mpaka leo hii nina miaka 32 imepita miaka 6 nmeacha huu uraibu.

PICHA ZA NGONO / VIDEO ZA X - Hii nayo iliungana na punyeto, nlikuwa napenda kucheki hizi video wkati napanda na kushuka mnazi, nilipoacha nyeto na hii addiction ilikatika, hii addiction inaharibu sana akili hii, hata dem wako akija unaanza kuvuta hisia kwamba unafanya tendo na muigizaji uliemuona kwenye video, hizi video ukicheki unapandwa na nyege kifuatacho hapo kama huna mpenzi karibu lazima utanyetoka tu ama kwenda kutafuta kahaba (japo mimi sikua mdau wa makahaba wale wanaojiuza barabarani)

BETTING - Hii nayo ilinitesa sana, nilianza kujifunza nikiwa chuoni, nilikuwa naweka bajeti kabisa ya mwezi inakuwa maalum kwajii ya kubeti tu, kiufupi ilinichapa na kunigaragaza, Hasa pale nikibeti timu kama 5 na 1 tu ikachana mkeka basi nlikuwa najipa matumaini sana kwamba "imebaki kidogo tu" nikawa najipa matumaini nisikate tamaa na mimi ntasinda tu kama rafiki zang kadhaa kuna moja aliweka buku 2 akachapa laki 4 yani kila nilipokua nikimfikiria napata mzuka wa kubeti japo nae hadi kashinda hio laki 4 alishaliwa sana, Nililiwa sana kuzidi nlichopata na siku nikipata pesa inarudi kwenye kubeti, kiufupi sikumbuki nlichfanya cha maana kwa pesa nlizowaji kushinda, nikachukua uamuzi wa kuacha ila kila nikijaribu uacha kwa siku kadhaa najikuta nimerudi, Ila niliposema SASA BASI!! nikachukua maamuzi) toka moyoni kabisa ndio ikatoka hivyo, kwa sasa sio mraibu tena, Tangu niacha mwaka unaweza kuisha sijabeti ama nikibeti ni mara moja au mbili tu kwa kujifurahisha tu.

SIGARA - Hii ndio imenifanya niandke huu uzi, Leo ndio natimiza mwaka moja tangu niiache kabisa, Asikwambie mtu sigara ni kazi sana kuiacha (ni rahisi kuacha bangi kulik kuacha sigara), Nilianza kidogo kidogo ila nikajikuta nmeanza kupiga nne hadi tano kila siku, yani asubuhi, mchana, jioni na usiku, Naweza hata kuahirisha kwenda sehemu muhimu ilimradi nivute tu sigara, nilijaribu kuiacha mara kibao ila ilikuwa kazi sana, kama kawaida kuna siku nikaamua tu kusema kwamba sasa basi!! nikachukua maamuzi) toka moyoni ndio nikaiacha moja kwa moja, Leo natimiza mwaka moja sina habari na sigara.

Ushauri wangu, kama unataka kuacha uraibu, acha moja kwa moja tu, usiseme eti unaacha kwa mwezi au wiki, nakwambia utarudi tu, tena kwa spidi ya ajabu sana, ukitaka uache uraibu wewe chukua maamuzi) toka moyoni kabisa panga kuacha moja kwa moja tu.

Uraibu ni gereza ambalo ambalo mraibu ana funguo za kutoka nje, ni swala ya yeye tu kuamua kufanya maamuzi awe huru.

Kwa sasa uraibu wangu ni kumcha Mungu, kusoma vitabu, maendeleo na familia yangu (mke wangu na watoto wawili)
 
Katika hii dunia ya sasa vilevi ni vingi mno na unahitaji umakini mkubwa sana maan aukangukia kwenye uraibu basi utapoteza vingi sana.

Nikiwa kama kijana, nimekuwa mmoja wapo waliokumbwa na uribu wa vilevi vitatu ambavyo ni Punyeto, betting na sigara.

PUNYETO - Hii nakumbuka nilianza zamani sana wakati nipo form 2 nikiwa na miaka 15, Uraibu wa Punyeto haukuniacha salama hata nilipoanza kuwa na wachumba, Nilitaka kuacha lakini nilishindwa, nilikuwa najaribu kuacha kwa Mwezi ila ikifika wiki tu narudi tena kwa spidi kali mno, Nilipofika miaka 26 nikasema kuanzia sasa siachi punyeto kwa mwezi bali naiacha moja kwa moja, Kweli Nimeweza, Mpaka leo hii nina miaka 32 imepita miaka 6 nmeacha huu uraibu.

BETTING - Hii nayo ilinitesa sana, nilianza kujifunza nikiwa chuoni, nilikuwa naweka bajeti kabisa ya mwezi maalum kwajii ya kubet, kiufupi ilinichapa na kunigaragaza, Hasa pale nikibeti timu kama 5 na 1 tu ikachana mkeka basi nlikuwa najipa matumaini sana kwamba nakaribia kuwa master wa kubeti kwahio ndio nabeti zaidi, Nililiwa sana kuzidi nlichopata na siku nikipata pesa inarudi kwenye kubeti inayoishia hata sikumbuki nlichfanyia cha maana, nayo hii kama ilivyo kwa mfano wa juu, kila nikijaribu uacha kwa siku kadhaa najikuta nimerudi, Ila nilipsema SASA BASI!! ndio ikatoka hivyo, kwa sasa sio mraibu tena, Tangu niacha mwaka unaweza kuisha sijabeti ama nikibeti ni mara moja au mbili tu kwa kujifurahisha tu.

SIGARA - Hii ndio imenifanya niandke huu uzi, Leo ndio natimiza mwaka moja tangu niiache kabisa, Asikwambie mtu sigara ni kazi sana kuiacha, Nilianza kidogo kidogo ila nikajikuta nmeanza kupiga nne hadi tano kila siku, yani asubuhi, mchana, jioni na usiku, sigara nilijaribu kuiacha mara kibao ila ilikuwa kazi sana, Nao kuna siku nikaamua tu ksema kwamba siiachi kwa muda mfupi bali naiacha moja kwa moja, Leo natimiza mwaka moja sina habari na sigara.

Usa=hauri wangu, kama unataka kuacha uraibu, acha moja kwa moja usiseme eti unaacha kwa mwezi au wiki, nakwambia utarudi tu, tena kwa spidi ya ajabu sana, ukitaka uache uraibu wewe panga kuacha moja kwa moja tu.

Uraibu ni gereza ambalo ambalo mraibu ana funguo za kutoka nje, ni swala ya yeye tu kuamua kufanya maamuzi awe huru.

Kwa sasa uraibu wangu ni kumcha Mungu, kusoma vitabu, maendeleo na familia yangu (mke wangu na watoto wawili)
good stuff
 
Pole na hongera mkuu..

Shida ya addiction hii ya gambling ni kuwa hata maisha yako kuna muda unakuwa unahisi miujiza tu itakutokea bila ya ku-take action.

Ndoa naifatilia kwa karibu,naukumbuka uzi wetu.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23], usinichekeshe mie unakuwa na akili za ajabu ajabu... Unaiwekeampaka malengo na mikakati[emoji1787] kuna vitu nikikumbuka naishia kucheka tu mwenyewe.

Yes.. Panapo majaaliwa tunakula mpunga October, tuombe uhai na uzima wa afya.
Nilitoa tarehe ya ndoa ila nilisahau kuwaita ndugu zangu.
 
Hapo kwenye punyeto vipi kuhusu nguvu kupungua.....maana inadaiwa kuwa punyeto madhaa yake ni makubwa hasa katika tendo pendwa wewe ilikuwaje mpaka sasa kuna athari zozote?
 
Hapo kwenye punyeto vipi kuhusu nguvu kupungua.....maana inadaiwa kuwa punyeto madhaa yake ni makubwa hasa katika tendo pendwa wewe ilikuwaje mpaka sasa kuna athari zozote?
Kwa upande wangu haikuwa ni zoezi la kila siku, mara nyingi ilikuwa siku nikikosa gamr ndo naamsha, Nadhani wanaoathirika sana ni wale ambao hawanaga mbadala kabisa (wanawake) na mara nyingi hawa huwa wanapiga mara 3 au zaidi kwa siku.

Binafsi ni miaka kadhaa imepita nimeacha hii nahisi ningeendelea ningekuwa muhanga
 
Ulichosema ndicho sahihi kwa maamuzi ya kuacha kitu chochote ulicho kizoea na kuwa na uraibu nacho.
 
[emoji23], usinichekeshe mie unakuwa na akili za ajabu ajabu... Unaiwekeampaka malengo na mikakati[emoji1787] kuna vitu nikikumbuka naishia kucheka tu mwenyewe.

Yes.. Panapo majaaliwa tunakula mpunga October, tuombe uhai na uzima wa afya.
Nilitoa tarehe ya ndoa ila nilisahau kuwaita ndugu zangu.
Dah...Bora uoe ili upunguze msongamano huku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Back
Top Bottom