Ushuhuda: Niliwahi kutembea kwa mguu kutoka Posta mpaka Goba baada ya kukosa nauli

Mkuu pole sana,maisha lazima upitie changamoto ili utoboe,dhahabu ili iwe safi basis husafishwa na moto.
 
Dah Nilikuwa Natembea from Usa River hadi Makumira kule... Hakika Palikuwa panachosha mno weekdays zote au kibaya ukimuomba mtu lift ya Baiskeli anakuambia wewe ndio umuendeshe! ukipiga kasia mbili tatu nne za pedal unamuambia mkuu endelea zako tu...
 
Kuna mzee nilikutana naye tabora kaniambia alikuwa ana swaga ngombe toka shinyanga Hadi dodoma kwa mguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…