SEASON 5
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 481
- 1,008
Niliwahi tafuta kazi nikapata kazi wanapofywatua matofali,nikaambiwa nipange vile vibao vinavyowekewa tofali.
vibao n vingi nadhani unaweza jazaa semi trela hata 5 nilipanga vile vibao kuanzia asubuhi to jioni saa 1 hivi nikaja pewa posho 500 yes ni mia tano yani mia mia tano..
hapo.mgongo wote unauma nina njaa sielewi hii jero naitumia kununua nini,nashukuru kipind kile kulikua namama mmoja anauza mama ntlie nilienda nunua Ukoko wa 500 akanimwagia na mamichuzi nikala ule ukoko Japo uliniumiza tumbo sana ila n moja ya memory chungu sana kuwahi tokea maishani mwangu.
vibao n vingi nadhani unaweza jazaa semi trela hata 5 nilipanga vile vibao kuanzia asubuhi to jioni saa 1 hivi nikaja pewa posho 500 yes ni mia tano yani mia mia tano..
hapo.mgongo wote unauma nina njaa sielewi hii jero naitumia kununua nini,nashukuru kipind kile kulikua namama mmoja anauza mama ntlie nilienda nunua Ukoko wa 500 akanimwagia na mamichuzi nikala ule ukoko Japo uliniumiza tumbo sana ila n moja ya memory chungu sana kuwahi tokea maishani mwangu.