Ushuhuda: Niliwahi kutembea kwa mguu kutoka Posta mpaka Goba baada ya kukosa nauli

Ushuhuda: Niliwahi kutembea kwa mguu kutoka Posta mpaka Goba baada ya kukosa nauli

Hakika maisha yana changamoto. Miaka 6 nyuma nikiwa katika harakati za kutafuta kazi Dar es salaam nikitokea mkoa nakumbuka nimewahi kuswaga mguu Posta- Goba baada ya mfuko kukosa mia 4 ya daladala.

Hii ilijitokeza mara nyingi tu. Unatembea mpaka unajiona huna akili au hauko katika hesabu ya walioumbwa na Mungu. Mwendo wa masaa 3-4. Na kinachoumiza zaidi road magari kama yote.

Nimewahi kulala nje siku moja baada ya kukosa kambi siku hiyo. Kuna broo mmoja ndo alikuwa akinichana live kuwa mimi sio mjanja ndio maana naishi kwa mdogo wangu. Sasa naishi kwangu, nina gari, pikipiki na nitafanya kitu kingine within this year.

Kuna vitu ukikumbuka unapata hudhuni sana.
Hongera sana kwa kupiga hatua. Naamini hicho kitu kilichobakia na cha kukifanya mwaka huu, kitakua ni kitendo cha kushangaza na kushtua wengi cha kujiunga na CCM 😇 huku ukikisifia hicho chama na Mwenyekiti wake kwa kukutoa Jalalani na kukufanya uwe na maisha bora!!
 
Hakika maisha yana changamoto. Miaka 6 nyuma nikiwa katika harakati za kutafuta kazi Dar es salaam nikitokea mkoa nakumbuka nimewahi kuswaga mguu Posta- Goba baada ya mfuko kukosa mia 4 ya daladala.

Hii ilijitokeza mara nyingi tu. Unatembea mpaka unajiona huna akili au hauko katika hesabu ya walioumbwa na Mungu. Mwendo wa masaa 3-4. Na kinachoumiza zaidi road magari kama yote.

Nimewahi kulala nje siku moja baada ya kukosa kambi siku hiyo. Kuna broo mmoja ndo alikuwa akinichana live kuwa mimi sio mjanja ndio maana naishi kwa mdogo wangu. Sasa naishi kwangu, nina gari, pikipiki na nitafanya kitu kingine within this year.

Kuna vitu ukikumbuka unapata hudhuni sana.
Mie nshalipungua kilo zaidi ya kumi kwa miezi mitatu,size ya suruali ikachange toka 38 Hadi 34.hata hela ya kwenda kupunguza size kwa fundi sina
 
umenikumbusha kuna jamaa alikuwa hana tembeza vyombo hana weza toka temeke kwake hakapita buguruni,tabata,ubungo,simu2000 sinza,tandale,manzese jioni kamalizia kigogo kurudi kwake

Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
Una point nzuri sana lakini uandikaji wako ni majanga. ''Hana tembeza'' ''hana weza'' ndiyo nini?
 
Hakika maisha yana changamoto. Miaka 6 nyuma nikiwa katika harakati za kutafuta kazi Dar es salaam nikitokea mkoa nakumbuka nimewahi kuswaga mguu Posta- Goba baada ya mfuko kukosa mia 4 ya daladala.

Hii ilijitokeza mara nyingi tu. Unatembea mpaka unajiona huna akili au hauko katika hesabu ya walioumbwa na Mungu. Mwendo wa masaa 3-4. Na kinachoumiza zaidi road magari kama yote.

Nimewahi kulala nje siku moja baada ya kukosa kambi siku hiyo. Kuna broo mmoja ndo alikuwa akinichana live kuwa mimi sio mjanja ndio maana naishi kwa mdogo wangu. Sasa naishi kwangu, nina gari, pikipiki na nitafanya kitu kingine within this year.

Kuna vitu ukikumbuka unapata hudhuni sana.
[emoji3]
 
kazi ya zege na unakosa, daah haya maisha😡😡😡😡😡😡
Mlaumu Baba yako kina Bakhressa wakati wanatafuta yeye alikua wapi? Wanakuja waking wachovu wanatoboa jijini nyinyi mmebaki kulaumu tu. #7_tena#
 
Kutembea masaa 3-4 sio kazi ndogo kuna jambo hujalisema la kusondosha vinyesi kwenye kila njia uliyokuwa unapita
 
Hakika maisha yana changamoto. Miaka 6 nyuma nikiwa katika harakati za kutafuta kazi Dar es salaam nikitokea mkoa nakumbuka nimewahi kuswaga mguu Posta- Goba baada ya mfuko kukosa mia 4 ya daladala.

Hii ilijitokeza mara nyingi tu. Unatembea mpaka unajiona huna akili au hauko katika hesabu ya walioumbwa na Mungu. Mwendo wa masaa 3-4. Na kinachoumiza zaidi road magari kama yote.

Nimewahi kulala nje siku moja baada ya kukosa kambi siku hiyo. Kuna broo mmoja ndo alikuwa akinichana live kuwa mimi sio mjanja ndio maana naishi kwa mdogo wangu. Sasa naishi kwangu, nina gari, pikipiki na nitafanya kitu kingine within this year.

Kuna vitu ukikumbuka unapata hudhuni sana.
Shemej yangu alikuw anatembea kutoka sinza mpaka mbagala
 
Posta Goba haizidi 20k, unaona kama umetembea mbali sana?

Wamama huko vijijini wanatembea hadi 25kms kufuata maji kila siku kwenda na kurudi. Nenda singida watu wanatembea na punda 40km kwenda kutafta maji na kurudi.

Wasukuma huko Shinyanga wanatembea zaidi ya 50km kwenda minadani kuuza viazi ama mahindi ama pamba tenda wamejitwisha kichwani.

Posta Goba unaona mbali sana ndugu?
Acha kuchafua wasukuma mkuu
Wengi wana baiskeli wana mikokoteni ya kuvutwa na ng'ombe ndiyo watembee na marobota ya pamba vichwani ??

Kama una nia ya kutuchafua tumia jambo jingine siyo hili.
 
umenikumbusha kuna jamaa alikuwa hana tembeza vyombo hana weza toka temeke kwake hakapita buguruni,tabata,ubungo,simu2000 sinza,tandale,manzese jioni kamalizia kigogo kurudi kwake

Sent from my HUAWEI VNS-L31 using JamiiForums mobile app
Halafu akipata hela wanaanza ooh anatumia nguvu za Giza ooh freemason MTU anachomwa na Jua mpaka ananuka kama punda.
 
Back
Top Bottom