USHUHUDA: Ninavyoyamudu maisha kupitia kilimo cha mbogamboga ndani ya ekari moja tu

USHUHUDA: Ninavyoyamudu maisha kupitia kilimo cha mbogamboga ndani ya ekari moja tu

Mkuu umerahisisha sana yaani baada kukodi shamba laki tatu halafu ikawaje sasa??

Dawa, mbegu,maji,vibarua, wezi, muda,nk vyote hujataja vilikugharimu kiasi gani ila nimeona tu umewekeza laki tatu na kupata faida ya milioni mbili. Hongera sana mkuu.

Nashukuru Mungu nilishafanya kilimo..tena kwa kupewa buure bwana shamba wa sua..heheh...kilimo sio rahis km alivyoandika..atupe mahesabu hapa na bei ya mbegu za vitunguu ..na alitumia aina ipi ya umwagiliaj kwa hizo siku 100..na alitumia sh ngap kwa vibarua...hapa kun vibarua wa3.
1.wakulima tractor
2.kuweka mabox au matuta na zile furrows kupitisha maji..wana bei zao..azawaizi alisaidiwa na mama zake wadogo
3.wakuangalia shamba plus msos kwa 100dys!
kama hujikuti unabak na 200k..alafu et eka 1😂😂😂...
pluz madawa☺
 
Nashukuru Mungu nilishafanya kilimo..tena kwa kupewa buure bwana shamba wa sua..heheh...kilimo sio rahis km alivyoandika..atupe mahesabu hapa na bei ya mbegu za vitunguu ..na alitumia aina ipi ya umwagiliaj kwa hizo siku 100..na alitumia sh ngap kwa vibarua...hapa kun vibarua wa3.
1.wakulima tractor
2.kuweka mabox au matuta na zile furrows kupitisha maji..wana bei zao..azawaizi alisaidiwa na mama zake wadogo
3.wakuangalia shamba plus msos kwa 100dys!
kama hujikuti unabak na 200k..alafu et eka 1😂😂😂...
Ha ha ha
 


Sua mipapai inadoda haina ht wateja..inaweka vidonda balaa bora maembe wanauza..ila papai wamefeli..yaan mm samak na kilmo nakudadavulia km nameza maji...uzuri wataalam ukikaa nao fresh anakuambia bora ulime 15 acres..n uwe kbs na soko.zuri mapema kbs..hizi eka 1 au 2 bora umzalie mumeo tu mtoto..

wabongo hatupigii hesabu vitu lukuki hata ule muda wakukaa shamban nao ni hela..unajikuta una xtra ya 400k..manina
 
Nashukuru Mungu nilishafanya kilimo..tena kwa kupewa buure bwana shamba wa sua..heheh...kilimo sio rahis km alivyoandika..atupe mahesabu hapa na bei ya mbegu za vitunguu ..na alitumia aina ipi ya umwagiliaj kwa hizo siku 100..na alitumia sh ngap kwa vibarua...hapa kun vibarua wa3.
1.wakulima tractor
2.kuweka mabox au matuta na zile furrows kupitisha maji..wana bei zao..azawaizi alisaidiwa na mama zake wadogo
3.wakuangalia shamba plus msos kwa 100dys!
kama hujikuti unabak na 200k..alafu et eka 1😂😂😂...
pluz madawa☺
Dada kwa huo mchanganuo nazidi kukulove zaidi; sema hausemagi kilikutenda kitu gani kilimo
 
Nashukuru Mungu nilishafanya kilimo..tena kwa kupewa buure bwana shamba wa sua..heheh...kilimo sio rahis km alivyoandika..atupe mahesabu hapa na bei ya mbegu za vitunguu ..na alitumia aina ipi ya umwagiliaj kwa hizo siku 100..na alitumia sh ngap kwa vibarua...hapa kun vibarua wa3.
1.wakulima tractor
2.kuweka mabox au matuta na zile furrows kupitisha maji..wana bei zao..azawaizi alisaidiwa na mama zake wadogo
3.wakuangalia shamba plus msos kwa 100dys!
kama hujikuti unabak na 200k..alafu et eka 1[emoji23][emoji23][emoji23]...
pluz madawa[emoji5]
Huyu asidanganye watu mkuu hata mimi huwa nafanya kilimo cha mpunga asikwambie mtu kama hauna mtaji wa kutosha hutoki. Na faida yake baada ya mavuno huwa ni ndogo mno.

Sema napenda kilimo ndiyo maana siachi na nafanya kilimo kama kazi ya ziada tu. Ila kwa mtu anayetegemea kilimo tu kama chanzo kikuu cha mapato lazima atumie gharama kubwa na faida ni kidogo mno.
 
Nashukuru Mungu nilishafanya kilimo..tena kwa kupewa buure bwana shamba wa sua..heheh...kilimo sio rahis km alivyoandika..atupe mahesabu hapa na bei ya mbegu za vitunguu ..na alitumia aina ipi ya umwagiliaj kwa hizo siku 100..na alitumia sh ngap kwa vibarua...hapa kun vibarua wa3.
1.wakulima tractor
2.kuweka mabox au matuta na zile furrows kupitisha maji..wana bei zao..azawaizi alisaidiwa na mama zake wadogo
3.wakuangalia shamba plus msos kwa 100dys!
kama hujikuti unabak na 200k..alafu et eka 1[emoji23][emoji23][emoji23]...
pluz madawa[emoji5]
Kilimo kingekuwa rahisi hivyo wote tungelima walah!
 
Sua mipapai inadoda haina ht wateja..inaweka vidonda balaa bora maembe wanauza..ila papai wamefeli..yaan mm samak na kilmo nakudadavulia km nameza maji...uzuri wataalam ukikaa nao fresh anakuambia bora ulime 15 acres..n uwe kbs na soko.zuri mapema kbs..hizi eka 1 au 2 bora umzalie mumeo tu mtoto..

wabongo hatupigii hesabu vitu lukuki hata ule muda wakukaa shamban nao ni hela..unajikuta una xtra ya 400k..manina
Mfano huyu anatuambia kaingiza 2m siku 100 hio ni kama 650,000/- kwa mwezi. Akitoa gharama?
 
Biashara mkuu inakuwa inategemea vitu viwili Demand & Supply
Ili Demand ikiwa kubwa inasabisha Supply kuwa kubwa na bei kuwa nzuri

Sasa mkuu wote tukilima mboga mboga huoni kuwa Demand itakuwa chini alafu bei itakuwa mbaya then kila aliyelima atapata hasara

Angalia kilimo cha Nyanya kinavyo waumiza watu pale Dumila Morogoro
 
Kilimo cha kwenye mitandao hakina hasara lakini kumbuka only large scale farming ndio inalipa hizi small scale farming utasota milele na hautopata mafanikio
 
Mzigo ulikuwa una upeleka direct sokoni
Ama ulikuwa una uuzia shambani.

Mazao gani ayo waweza yataja

furahia
Nilijifanya msoomiii smaaart kutafta mwenyew soko..nikaweka hate balaa kwa madalali..kama.kuna diff niliyoona ni 100k..mimi mwenzako nna pasion na fruiys zaid..ila kwa 2014 yalinifurahisha..ila toka aingie huyu Nungunungu unapata faida 800k..si wehu huu
 
Kwenye mazao kinacholipa ni kuweka stock ya mazao nayo pia kwa target kwa mfano mpunga au mahindi nayo unaweka stock mwaka ambao hakuna mavuno makubwa kwa nchi nzima ambapo unajua kabisa hili zao mwaka huu ni kidogo hivo uhitaji utakua mkubwa, lakini ukijichanganya kuweka stock mwaka ambao mavuno yamekubali na automatically demand itakua chini utazidi kulia miaka yote
 
furahia
Nilijifanya msoomiii smaaart kutafta mwenyew soko..nikaweka hate balaa kwa madalali..kama.kuna diff niliyoona ni 100k..mimi mwenzako nna pasion na fruiys zaid..ila kwa 2014 yalinifurahisha..ila toka aingie huyu Nungunungu unapata faida 800k..si wehu huu
duuu sio pouwa;

Hahaha ila madalali wana kula kiulaini
 
Back
Top Bottom