babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Kuna heka 5 hapo Chanika Masaki ila bora zikae tu kulima noMkuu umerahisisha sana yaani baada kukodi shamba laki tatu halafu ikawaje sasa??
Dawa, mbegu,maji,vibarua, wezi, muda,nk vyote hujataja vilikugharimu kiasi gani ila nimeona tu umewekeza laki tatu na kupata faida ya milioni mbili. Hongera sana mkuu.