USHUHUDA: Ninavyoyamudu maisha kupitia kilimo cha mbogamboga ndani ya ekari moja tu

USHUHUDA: Ninavyoyamudu maisha kupitia kilimo cha mbogamboga ndani ya ekari moja tu

Ni sawa na kipindi flani nmerudi nyumbani nikakuta watu wanawafundisha kina mama huko kijijini eti walime mboga ya kuuza kwenye mifuko ya salfet😂😂😂😂
Yaani wazoe udongo waweke kwenye viroba......
Mwisho hata mboga ya kula haikupatikana


😂😂😂😂 ww unanikumbusja ya mama manengelo msabato yule😂😂😂..wanatoboa wanapanda chinese..ukiuliza nn shida wanakuambia.km huna eneo la kulima mboga mboga..mara ikaja ya makopo😂😂😂na hapo amezunhukwa na maeneo balaa ya kulima.hhahahahaha

Ila mm hii organic food naifanya kwa berries..ss kwenye chinese jaman inatesaaaa😂😂😂..chinese ikianza kitobolewa unaambiwa spray na mavitunguu swaumu..jaman..hahahaa..chinese unakula inataste swaumu hahahha yaan km uchawi vile


Kuna mama m1 anaishi UK..ni mtz..akatuletea deal tulime pure organic mchicha..tulikua watu 65...kila mtu akalima 2acres..mm nilichomoa coz nilishanusa..ikasemekana mchicha ule ungepelekwa UK..nilihoji maswali sana sikupata aloniunga mkono as mie nimewah lima mchicha..ule unalegea mapema sana..hehhee watu dumila walikodi mashamba balaa..mchicha ukakwivaa😂😂😂...kifupi mchicha haukuchumwa ht jani 1...ulionekana una bacteria sana kwenye majani...!hapo amezurura km 6mths kuomba vibali asafirishe Uk..!walispray swaumu hizo ...khaa..ule mwaka jaman..!walio kwenye groups huyu mama ni muongeaji balaa...anatunyali balaa watz..akaja bongo akaingia front..lol..yako wap
 
😂😂😂😂 ww unanikumbusja ya mama manengelo msabato yule😂😂😂..wanatoboa wanapanda chinese..ukiuliza nn shida wanakuambia.km huna eneo la kulima mboga mboga..mara ikaja ya makopo😂😂😂na hapo amezunhukwa na maeneo balaa ya kulima.hhahahahaha

Ila mm hii organic food naifanya kwa berries..ss kwenye chinese jaman inatesaaaa😂😂😂..chinese ikianza kitobolewa unaambiwa spray na mavitunguu swaumu..jaman..hahahaa..chinese unakula inataste swaumu hahahha yaan km uchawi vile


Kuna mama m1 anaishi UK..ni mtz..akatuletea deal tulime pure organic mchicha..tulikua watu 65...kila mtu akalima 2acres..mm nilichomoa coz nilishanusa..ikasemekana mchicha ule ungepelekwa UK..nilihoji maswali sana sikupata aloniunga mkono as mie nimewah lima mchicha..ule unalegea mapema sana..hehhee watu dumila walikodi mashamba balaa..mchicha ukakwivaa😂😂😂...kifupi mchicha haukuchumwa ht jani 1...ulionekana una bacteria sana kwenye majani...!hapo amezurura km 6mths kuomba vibali asafirishe Uk..!walispray swaumu hizo ...khaa..ule mwaka jaman..!walio kwenye groups huyu mama ni muongeaji balaa...anatunyali balaa watz..akaja bongo akaingia front..lol..yako wap
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mnapeleka mchicha wenye bacteria UK mnataka kumuua malikia Elizabeth? 😂😂😂😂

Mi nashukuru hicho cha kwenye maroba nilimuwahi bimkubwa nikampa somo akaelewa hakufanya kabisa!
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂mnapeleka mchicha wenye bacteria UK mnataka kumuua malikia Elizabeth? 😂😂😂😂

Mi nashukuru hicho cha kwenye maroba nilimuwahi bimkubwa nikampa somo akaelewa hakufanya kabisa!


😂😂😂😂😂😂 Bongo nyoso sana..lakin wenzetu Kenya wań sera nzuri..wanaexport..sio sie kina Mwijage anaongeaaaaaa .khaa
 
😂😂😂😂😂😂 Bongo nyoso sana..lakin wenzetu Kenya wań sera nzuri..wanaexport..sio sie kina Mwijage anaongeaaaaaa .khaa
Bongo aliyeweza kusafirisha hayo mazao yule dada analima iringa anaitwa Hadija Jabiry ila hawa wengine mizinguo sana!
Sasa hivi kilimo cha parachichi ndo kiko on🔥🔥🔥🔥🔥sasa sijui huko mbeleni
 
Bongo aliyeweza kusafirisha hayo mazao yule dada analima iringa anaitwa Hadija Jabiry ila hawa wengine mizinguo sana!
Sasa hivi kilimo cha parachichi ndo kiko on🔥🔥🔥🔥🔥sasa sijui huko mbeleni


Yes ..huyo na wale wakak wa chuga
 
Safi, unaendelea kutufundisha tuache uoga, tukimbilie ndoto zetu. Ila unamwagilia au unategemea mvua? Vipi changamoto ya magonjwa ya mimea? Nguvu kazi, mwingine anaweza kudhani kilimo ni rahisi kama kunywa maji. Kuna kuku wa wiki 4 wametoa watu kamasi. Ila naamini ukiwa na taarifa sahihi na mtaji inawezekana.
![emoji3][emoji3][emoji3]hao Kuku wa wiki nne wakoje mkuu
 
Nashukuru Mungu nilishafanya kilimo..tena kwa kupewa buure bwana shamba wa sua..heheh...kilimo sio rahis km alivyoandika..atupe mahesabu hapa na bei ya mbegu za vitunguu ..na alitumia aina ipi ya umwagiliaj kwa hizo siku 100..na alitumia sh ngap kwa vibarua...hapa kun vibarua wa3.
1.wakulima tractor
2.kuweka mabox au matuta na zile furrows kupitisha maji..wana bei zao..azawaizi alisaidiwa na mama zake wadogo
3.wakuangalia shamba plus msos kwa 100dys!
kama hujikuti unabak na 200k..alafu et eka 1[emoji23][emoji23][emoji23]...
pluz madawa[emoji5]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom