muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Nasikia Tabora umeme umeshika hatamu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanalamba sana asali na wao wanakua na honey flavourHakika mapenzi ya Tabora hawa wanawake wa kinyamwezi ni kiboko.
Kuishi ama kufika ama kupita Tabora ni raha sana, mapenzi tele na raha zake na utamu wa mapenzi ya Tabora hakuna mkoa pinzani.
Wanawake wa kinyamwezi na hata walofundwa unyamwezini ni watamu sana wanajua mpaka basi hadi wana utamu wa kukuficha.
Tabora ni raha, unafinywa kwa ndani, unabanwa miguu, unageukiwa na unabanwa miguu.
Inafika pahala mwanaume unabweka kisa utamu sijui wanaweka nini hawa wanawake.
Mimi Wadiz mkongwe yaani Baharia mtaalamu wa mapenzi ndio wa kulizwa vile na wanyamwezi mpaka nabweka kama mbwa. Sielewi sijui kuna kitu wanaweke si kwa utamu ule utadhani unaokwa na microwave duuh❤️❤️❤️💯💯💯🙏🙏🙏
Tabora ni noma Tabora ni hatari ni makao makuu ya Dunia ya mapenzi.
Daah aisee ni hayo tu ama kweli naguma!
Wadiz
Hizo story tu. umeme wenyewe huu wa tanesco, ukinywa vibaba viwili unajizima🤫Nasikia Tabora umeme umeshika hatamu sana.
Ukutane na pisi ya mabama au kule usoke, muarabu afu ana ugwambala. 🙃🙃🙃Vijana kiu inawasumbua tu.
Ladha ni feelings zako tu juu yake, vingine ni ile changamsha genge muda uende.
Atakua nyanzala huyokwa sehemu nakubaliana na wewe!niliwahi kukutana na manzi "nta"pale isevya miaka fulani yaan had leo simsahaugi yule binti...,.
hahahahah wew jamaa bana,sio huyo ila ki ukweli sijawah kutana na kitu kama ile,yaan ni kama ina gundiAtakua nyanzala huyo
Ukutane na pisi ya mabama au kule usoke, muarabu afu ana ugwambala.
Hatari sanahahahahah wew jamaa bana,sio huyo ila ki ukweli sijawah kutana na kitu kama ile,yaan ni kama ina gundi
Sasa hiyo feeling inakujaje bila kuthamimisha?Vijana kiu inawasumbua tu.
Ladha ni feelings zako tu juu yake, vingine ni ile changamsha genge muda uende.
Mapenzi ni hisia.Sasa hiyo feeling inakujaje bila kuthamimisha?
Jinga tu hili ligeni la wanawakeUpuuzi tu
Mkuu si itapiga chafya Chezea ugoro.Naskia wanawekaga ugoro huko maeneo
Dah!Umenikumbusha nilisahau mfuko wa mahindi mashineni kule mitaa ya Ng'ambo kwa Mpumunti/Masempele.😎Panaitwa Mboka manyema...mtakuja kanyenye,bachu,isevya,cheyo,rufita,.....mashallah mashallah
We jamaa umeishi Tabora mitaa gani?Dah!Umenikumbusha nilisahau mfuko wa mahindi mashineni kule mitaa ya Ng'ambo kwa Mpumunti/Masempele.😎
Duh nlkuaga na dem anaitwa Nyanzala kumbe ndo wa hukoAtakua nyanzala huyo
Nikithubutu kukueleza nilipoishi na id yangu fake ndiyo itakuwa mwisho wa kuitumia.The secret will be revealed!We jamaa umeishi Tabora mitaa gani?