Ushuhuda: Usinunue ardhi yenye makaburi kamwe

Ushuhuda: Usinunue ardhi yenye makaburi kamwe

The unpaid Seller

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2019
Posts
2,113
Reaction score
6,251
Peace, (Mods naomba msibadili tittle ya uzi huu pia nitashukuru kama hamta uunganisa. Asante)

Wakuu, (hasa vijana) ardhi bado zipo nyingi sana maeneo tofauti na za kila aina, unapotaka kununua ardhi KAMWE usinunue ardhi yenye makaburi. Wenye makaburi wana haki na kwa hakika watakuja kuyatembelea makaburi yao na nawatakapo kuja wataweka maua kwenye ardhi yenye makaburi yao.

Hauta wazuia na ukijaribu kuwazuia utakua unakosea na hata hivyo hautafanikiwa kuwazuia. Juhudi za kuwazuia wasiyatembelee makaburi yao inaweza kuwachochea hata zaidi kuyatembelea mara nyingi zaidi.

Si mmeona kilichotokea kwa mwanaume aliye kaza fuvu na kumuoa Zari. Haya sasa baba watoto Diamond kaenda kuwatazama watoto na kisha kuspend usiku ndani ya nyumba na mzazi mwenzake kijana kaishia kulalama.

Japo ilishasemwa sana, sana tena sana lakini niseme tena kama mwanaume una akili timamu USIOE MWANAMKE ALIYEZALISHWA NA MWANAUME MWINGINE.

Kuna masingle mother ya jf hapa yatakuja kushupa ooh "mimi nikishaachana na mwanaume tumeachana" blah blah blah wewe kjifanye unajua sana kupenda HAKIKA UTASHANGAZWA.

Yani kitendo cha kumuoa tu kinamfanya huyo mwanamke yeye mwenyewe akudharau, kwamba umeamua kumuoa japo yeye ni used up yani inaonyesha hauna options na ni dhaifu.

"Wenye makaburi wana haki na kwa hakika watakuja kuyatembelea makaburi yao na watakapokuja wataweka maua kwenye ardhi yenye makaburi yao HAKIKA".
 
Peace, (Mods naomba msibadili tittle ya uzi huu pia nitashukuru kama hamta uunganisa. Asante)

Wakuu, (hasa vijana) ardhi bado zipo nyingi sana maeneo tofauti na za kila aina, unapotaka kununua ardhi KAMWE usinunue ardhi yenye makaburi. Wenye makaburi wana haki na kwa hakika watakuja kuyatembelea makaburi yao na wataweka maua kwenye makaburi yao.

Hauta wazuia na ukijaribu kuwazuia utakua unakosea na hata hivyo hautafanikiwa kuwazuia. Juhudi za kuwazuia wasiyatembelee makaburi yao inaweza kuwachochea hata zaidi kuyatembelea mara nyingi zaidi.

Si mmeona kilichotokea kwa mwanaume aliye kaza fuvu na kumuoa Zari. Haya sasa baba watoto Diamond kaenda kuwatazama watoto na kisha kuspend usiku ndani ya nyumba na mzazi mwenzake kijana kaishia kulalama.

Japo ilishasemwa sana, sana tena sana lakini niseme tena kama mwanaume una akili timamu USIOE MWANAMKE ALIYEZALISHWA NA MWANAUME MWINGINE.

Kuna masingle mother ya jf hapa yatakuja kushupa ooh "mimi nikishaachana na mwanaume tumeachana" blah blah blah wewe kjifanye unajua sana kupenda HAKIKA UTASHANGAZWA.

Yani kitendo cha kumuoa tu kinamfanya huyo mwanamke yeye mwenyewe akudharau, kwamba umeamua kumuoa japo yeye ni used up yani inaonyesha hauna options na ni dhaifu.

"Wenye makaburi wana haki na kwa hakika watakuja kuyatembelea makaburi yao na wataweka maua kwenye makaburi yao HAKIKA".
Tulisha kataa vita ya makofi kutumia nuke. We jamaa huna huruma kabisa. 🤣
 
Sio mwanamke aliyezaa Bali mwanamke mwenye baba watoto mwenye hela kukuzidi.
Daimond anaenda kwa zari muda wowote saa yoyote na hakuna wa kumzuia coz kile kibenten hakina say yoyote pale kinalelewa tu.
We unafikiri wale watoto ndio wangekuwa wa Shakib halafu daimond anaishi nae kwa Sasa huyo shakibu angeruhusiwa hata kusogea kuona watoto?
Tafuteni pesa bila pesa madhaliliko hayaepukiki.
 
Sio mwanamke aliyezaa Bali mwanamke mwenye baba watoto mwenye hela kukuzidi.
Daimond anaenda kwa zari muda wowote saa yoyote na hakuna wa kumzuia coz kile kibenten hakina say yoyote pale kinalelewa tu.
kwahiyo mwanaume aoe mwanamke aliyezalishwa lakini na mwanaume asiye na hela ?!

Hata kama Diamond angekua hana hela, kuoa tu mwanamke aliyezalishwa haijalishi na mwanaume mwenye hela au hana ni kosa kubwa mwanaume mwenye akili timamu hawezi kufanya
 
kwahiyo mwanaume aoe mwanamke aliyezalishwa lakini na mwanaume asiye na hela ?!

Hata kama Diamond angekua hana hela, kuoa tu mwanamke aliyezalishwa haijalishi na mwanaume mwenye hela au hana ni kosa kubwa mwanaume mwenye akili timamu hawezi kufanya
Kalaghabaho...
 
Sio mwanamke aliyezaa Bali mwanamke mwenye baba watoto mwenye hela kukuzidi.
Daimond anaenda kwa zari muda wowote saa yoyote na hakuna wa kumzuia coz kile kibenten hakina say yoyote pale kinalelewa tu.
We unafikiri wale watoto ndio wangekuwa wa Shakib halafu daimond anaishi nae kwa Sasa huyo shakibu angeruhusiwa hata kusogea kuona watoto?
Tafuteni pesa bila pesa madhaliliko hayaepukiki.
Anaruhusiwa vizuri tu Tena mchana kweupe kabisa. Mtoto anaumwa ama ana party ya ubatizo/kipaimara ama anahitimu nisije Kwa mwanangu kisa umemuoa wewe una Hela?
 
Anaruhusiwa vizuri tu Tena mchana kweupe kabisa. Mtoto anaumwa ama ana party ya ubatizo/kipaimara ama anahitimu nisije Kwa mwanangu kisa umemuoa wewe una Hela?
Mtoto wako utapewa utajua wewe unaenda naye wapi coz ww unabaki kuwa mzazi tu.
Lakini sio kwenda kwenye nyumba ya wenyewe ukakatike viuno kama vile....
Thubutuuu
 
Back
Top Bottom