Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Unajinyima furaha ..mkuu duniani tumekuja furahi ngoja nikuongeze mbinu mpya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] dah hatar kweli kweli mazeeeUnajinyima furaha ..mkuu duniani tumekuja furahi ngoja nikuongeze mbinu mpyaView attachment 1620459
ubunifu huu ungeufungulia kiwanda saivi ungekua unakaa meza moja na wadosi wenzioUnajinyima furaha ..mkuu duniani tumekuja furahi ngoja nikuongeze mbinu mpyaView attachment 1620459
Namshukuru Mungu anayeniwezesha hilo halitonipata hata siku moja. Na nimedhamiria na nimeamua na Ninaweza kwa kuwa Mungu ananiwezesha.Kuanzia kesho jiandae, usingizi kuupata utageuka kama samaki wa kubanikwa. Halafu ukianza kusinzia tu unashangaa umekabwa na jina mizi.
Kauli yako ya Kwanza na Ya Mwisho zina ushindi mkubwa sana, Hongera Ndugu. Nimependa kuwa ulishaweza na hata ulipokosea hukukata tamaa unasonga.Hongera mkuu. Mimi nilijua nimeacha baada ya kupita miezi miwili sijapiga punyeto. Ila kuna siku nimetulia geto kitandani usingizi hauji najigeuza tu kitandani, ase na vile bando sikosi nikazibua kimoja cha fasta na usingizi ukaja fasta Ila sahz Nina wiki moja nahisi nitafanikiwa kukaa mwaka mzima bila punyeto
Kwa bahati nzuri Nina Maarifa yakutosha sitopaswa kupitia huko, wala yoyote sitomshauri hivyo kwa kuwa huko ataishia kutenda dhambi na kujikosea tuu. Na hakuna uhalisia na FictionPornhub.com kaka jaribu kupitia hiyo website watakupa na ujuzi mwingine wa kuiacha kabisa
Umeweka Point kubwa sana. Na hii ndiyo sababu iliyopelekea niachane na Punyeto kwa kuwa kila ukimaliza hakuna furaha ni guilty na kujisikia vibaya tuu.Unajua Post Nut Clarity? Ile unamaliza kumwaga kisha unajiuliza "Hiki nini nimefanya?" Hua inatukuta tukiwa na ashki kiasi unakua radhi kumshona mwanamke yeyote.
Now katika puchu hiyo PNC ni kwa kila bao. Hakuna siku utamaliza kumwaga kisha utajiambia "Yeah this is awesome now ngoja niendelee"
Nakutakia kila la heri. Mimi hunyonga nikiwa stressed au nina hasira. Hope hiyo energy utaipatia channel ya kuidirect.
Asante sana, Ujumbe huu nimeupokea kwa moyo wa Shukrani na hautoishia kwangu, kila atakayesoma atafarijika na kujua kuwa naye anaweza kuacha kwa kuwa wapo wanao muwazia mema cha msingi ni kudhamiriaEndelea kukomaa usirudi nyuma, Hakika umethubutu na unaweza kamanda.
mkuu!, mi nina kama wiki moja sijapiga nyeto, ila leo siku ya nane kwa kujipongeza nikaamua kupiga kimoja.
Hongera kwa kwenda siku Nane bila kupiga, ila pole kwa kupiga hiyo. Kwa kuwa umedhamiria kuacha, basi usikate tamaa anza tena naamini unashinda kabisamkuu!, mi nina kama wiki moja sijapiga nyeto, ila leo siku ya nane kwa kujipongeza nikaamua kupiga kimoja.
Ashukuriwe Mungu aliyepokea maombi yangu, nakuniambia unaweza na nitakuwezesha hutopiga tenaChaputa hawajapokea barua yako.
sawa mkuu ila naww siku ukizimua usisite kuleta mrejeshoHongera kwa kwenda siku Nane bila kupiga, ila pole kwa kupiga hiyo. Kwa kuwa umedhamiria kuacha, basi usikate tamaa anza tena naamini unashinda kabisa
Kila heri
Asante sana mkuuKauli yako ya Kwanza na Ya Mwisho zina ushindi mkubwa sana, Hongera Ndugu. Nimependa kuwa ulishaweza na hata ulipokosea hukukata tamaa unasonga.
Umenipa Nguvu, safi sana. Kuna namna ujumbe wako umewasaidia na wengine pia.