Ushuhuda wa jinsi nilivyofanikiwa kuacha punyeto

Ushuhuda wa jinsi nilivyofanikiwa kuacha punyeto

Leo ni siku ya Tano, tangu nimeamua kuacha Kupiga Punyeto.

Najua kuna namna na wengine wanapitia katika hali hii na hawapendi kupiga Punyeto, Napenda kukutaarifu kuwa inawezekana Mi nimedhamiria na kila siku katika hii Thread (Uzi) nitakuwa nawashirikisha hatua ninazopitia katika kuacha kwangu...
Mwaka wa 20 huu. Hata nikikaa miezi 8 itakuja siku nitashtua tu!!
 
Ni siku ya Sita Mfululizo bila kupiga Punyeto, dhamira yangu Nina zidi kuimarisha zaidi ili Kusonga Mbele...

Mkuu mimi nishawah kuwa muhanga zaid yako kwa miaka 4
Now Nina miezi zaid ya miwili sina hata wazo
NOTE:
Sifanyi mazoezi
Bado nakaa chumban peke yangu
Niko busy mtandaon

Ila kilichonisaidia ni Mungu
Mwombe mungu sana
Ikiwezekana funga sana Maombi
Punyeto ni pepo au roho inaitwa spirit of masturbation
Dawa yake Maombi ya kumaanisha

Me nilimwambia Mungu kama nyeto haitanipeleka jehanum basi aniache niendelee nayo
Ila kama ni dhamb Nimekupa wewe maisha yangu niponye
Na siku nikiingia jehanum sababu ya puri ninaomba ukumbuke sala hii
Mungu ni mwaminifu kaniponya kabsa

Cha msingi okoka kwel kwel tafuta kanisa la kiroho (Pentecostal)
Afu usivunjike moyo hata hali ikija tena Mwambie Yesu mapenzi yako yatimizwe kwangu


For sure things will change
 
Mwaka wa 20 huu. Hata nikikaa miezi 8 itakuja siku nitashtua tu!!
Mwaka wa 20 huu. Hata nikikaa miezi 8 itakuja siku nitashtua tu!!

Mkuu mimi nishawah kuwa muhanga zaid yako kwa miaka 4
Now Nina miezi zaid ya miwili sina hata wazo
NOTE:
Sifanyi mazoezi
Bado nakaa chumban peke yangu
Niko busy mtandaon

Ila kilichonisaidia ni Mungu
Mwombe mungu sana
Ikiwezekana funga sana Maombi
Punyeto ni pepo au roho inaitwa spirit of masturbation
Dawa yake Maombi ya kumaanisha

Me nilimwambia Mungu kama nyeto haitanipeleka jehanum basi aniache niendelee nayo
Ila kama ni dhamb Nimekupa wewe maisha yangu niponye
Na siku nikiingia jehanum sababu ya puri ninaomba ukumbuke sala hii
Mungu ni mwaminifu kaniponya kabsa

Cha msingi okoka kwel kwel tafuta kanisa la kiroho (Pentecostal)
Afu usivunjike moyo hata hali ikija tena Mwambie Yesu mapenzi yako yatimizwe kwangu


For sure things will change
Noted, Asante sana hilo ni kipaumbele zaidi na nilianza nalo na ninaendelea nalo. Na nimetenga hadi sadaka maalum kwa week kwaajili ya Shukrani

Na katika Maombi na Neno ni muhimu sana pia kuongeza Na mazoezi Kwa afya, Nashukuru sana Mungu wangu.

Asante sana
 
Noted, Asante sana hilo ni kipaumbele zaidi na nilianza nalo na ninaendelea nalo. Na nimetenga hadi sadaka maalum kwa week kwaajili ya Shukrani

Na katika Maombi na Neno ni muhimu sana pia kuongeza Na mazoezi Kwa afya, Nashukuru sana Mungu wangu.

Asante sana
Ingia hapo uone hili swala tulivyojadili tangu 2015 huko.
 
leo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.

Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.

Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.
 
Mkuu mimi nishawah kuwa muhanga zaid yako kwa miaka 4
Now Nina miezi zaid ya miwili sina hata wazo
NOTE:
Sifanyi mazoezi
Bado nakaa chumban peke yangu
Niko busy mtandaon

Ila kilichonisaidia ni Mungu
Mwombe mungu sana
Ikiwezekana funga sana Maombi
Punyeto ni pepo au roho inaitwa spirit of masturbation
Dawa yake Maombi ya kumaanisha

Me nilimwambia Mungu kama nyeto haitanipeleka jehanum basi aniache niendelee nayo
Ila kama ni dhamb Nimekupa wewe maisha yangu niponye
Na siku nikiingia jehanum sababu ya puri ninaomba ukumbuke sala hii
Mungu ni mwaminifu kaniponya kabsa

Cha msingi okoka kwel kwel tafuta kanisa la kiroho (Pentecostal)
Afu usivunjike moyo hata hali ikija tena Mwambie Yesu mapenzi yako yatimizwe kwangu


For sure things will change
Mkuu👏👏👏ushauri mzuri sanaa pia kama unatumia instagram kuna jamaa anajiita NoFap mule kuna watu wengi worldwide walioamua kuacha punyeto na kuchek pornography jamaa anakumotivate sanaa....
 
Yani mkuu siku saba tu ndo unafungua mpaka uzi.....niamini mim bado hujaacha bali umepumzika........addiction ya puchu inachukua kuanzia miezi 24 kwenda mbele mpaka ikutoke kabisa akilini.
 
Fanya mazoezi mkuu na kunywa maji yakutosha.

Pia usipende kukaa idle kama huna issue ys kufanya.
leo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.

Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.

Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.
 
Yani mkuu siku saba tu ndo unafungua mpaka uzi.....niamini mim bado hujaacha bali umepumzika........addiction ya puchu inachukua kuanzia miezi 24 kwenda mbele mpaka ikutoke kabisa akilini.
By the grace of God you can stop it and never repeat it,unless if you are not serious...
 
Juna bomba unasema umeacha kwenda kwa jirani kuteka maji.

Oa oa oa kijana hyo ndo dawa ya nyeti...ata ukimwaga ukiwa usingizini hyo nayo ni nyeto tosha.
 
leo Siku ya 7 nimetimiza Week bila Kupiga punyeto.

Asante Mungu kwa kuwa unaendelea kunisaidia na kuniimarisha zaidi. Ninaweza kwa kuwa waniwezesha. Ngoja niweke NENO kwa wingi moyoni mwangu kwa kuwa sitamani kurudi nyuma bali kusonga Mbele.

Nazidi kuona kuwa inawezekana kuacha kupiga punyeto, na katika Siku 7 naona kuimarika. Asante Mungu.

Week 2 ( siku 14) pila kupiga punyeto.

nazidi kuamini ukiamua na ukimuomba Mungu kuacha inawezekana kabisa hata iwe ngumu kiasi gani.

asante kwa mnaoendelea kutoa ushauri, na ukiwa unapitia kwenye hiyo hali na unataka kuacha jua kuwa inawezekana nami nakaza mwendo kwa kuwa nimekusudia kuacha na nimeacha.

Asante
 
Hongera mkuu. Mimi nilijua nimeacha baada ya kupita miezi miwili sijapiga punyeto. Ila kuna siku nimetulia geto kitandani usingizi hauji najigeuza tu kitandani, ase na vile bando sikosi nikazibua kimoja cha fasta na usingizi ukaja fasta Ila sahz Nina wiki moja nahisi nitafanikiwa kukaa mwaka mzima bila punyeto
Naulizia maendeleo yako!
 
Week 2 ( siku 14) pila kupiga punyeto...
Hongera Mkuu...
Hatua inayofata ni ngumu kuliko iliyopitaa ndani ya siku 14
ugumu wa safari ndo njia husika ya mafanikio....
week hii hamu ya kulud kule italud mara mbili zaid....
inahitaji uongeze jitihada zaid....
1-mazoezi sanaa ili mwili uchoke
2-sala za kutosha Mungu akusaidie
3-epuka vishawishi vya ngono hasa picha chafu na story za ngono
4-usipende kukaa peke ako au bila kazi ya kufanya....

kila la kheri katika Mapambano...
Haupo peke ako tupo wengi...
 
Hongera Mkuu...
Hatua inayofata ni ngumu kuliko iliyopitaa ndani ya siku 14
ugumu wa safari ndo njia husika ya mafanikio....
week hii hamu ya kulud kule italud mara mbili zaid....
inahitaji uongeze jitihada zaid....
1-mazoezi sanaa ili mwili uchoke
2-sala za kutosha Mungu akusaidie
3-epuka vishawishi vya ngono hasa picha chafu na story za ngono
4-usipende kukaa peke ako au bila kazi ya kufanya....

kila la kheri katika Mapambano...
Haupo peke ako tupo wengi...
Asante,
Bonge LA ushauri kutoka kwako, nitazingatia kwa makini na kabisa lazima Nishinde kwa kuwa Mungu yupo nami.

More
Zoezi
Sala
Lishe
Kukwepa Vishawishi


Asante
 
Naulizia maendeleo yako!
Maendeleo yako vizuri mkuu ila juzi Mungu tu amesaidia. Juzi nilikuwa nawaza nyeto tu muda wote akili haikuwaza kingine nikaona kuepuka hii kitu niende nikachukue wale wa dakika 5 mitaa ya moro mjini pale niwe mwepesi.

Aisee nilipofika pale walikuwa wengi tu wanasubiri wateja, baada ya dakika tano hivi akapita mtoto na mama yake ambaye ni kipofu wanaomba msaada, ilibidi hela ya kufanyia hiyo dhambi nimpe yule mtoto afu nikaepa na ugwadu wote ulikata.

Ila nakaza kwakweli sipigi hii kitu mwaka mzima, huku nikiwa kwenye process ya kutoka kwenye TEAM SINGLE
 
Maendeleo yako vizuri mkuu ila juzi Mungu tu amesaidia. Juzi nilikuwa nawaza nyeto tu muda wote akili haikuwaza kingine nikaona kuepuka hii kitu niende nikachukue wale wa dakika 5 mitaa ya moro mjini pale niwe mwepesi.

Aisee nilipofika pale walikuwa wengi tu wanasubiri wateja, baada ya dakika tano hivi akapita mtoto na mama yake ambaye ni kipofu wanaomba msaada, ilibidi hela ya kufanyia hiyo dhambi nimpe yule mtoto afu nikaepa na ugwadu wote ulikata.

Ila nakaza kwakweli sipigi hii kitu mwaka mzima, huku nikiwa kwenye process ya kutoka kwenye TEAM SINGLE
Mungu atukuzwe kwaajili yako, hongera sana. Kuna kitu kizuri wale waliopita ukawasaidia haukuwasaidia wao tuu Bali Mungu alikunusuru na kukusaidia wewe.

Utaweza kabisa kaka, na Mungu yu Pamoja nawe. Tuzidi kuimarika haijalishi hali itakuwaje
 
Back
Top Bottom