mkuu ulimkimbia Shetan kwny mdomo wake kabisaaMaendeleo yako vizuri mkuu ila juzi Mungu tu amesaidia. Juzi nilikuwa nawaza nyeto tu muda wote akili haikuwaza kingine nikaona kuepuka hii kitu niende nikachukue wale wa dakika 5 mitaa ya moro mjini pale niwe mwepesi.
Aisee nilipofika pale walikuwa wengi tu wanasubiri wateja, baada ya dakika tano hivi akapita mtoto na mama yake ambaye ni kipofu wanaomba msaada, ilibidi hela ya kufanyia hiyo dhambi nimpe yule mtoto afu nikaepa na ugwadu wote ulikata.
Ila nakaza kwakweli sipigi hii kitu mwaka mzima, huku nikiwa kwenye process ya kutoka kwenye TEAM SINGLE
Asante sana mkuu. Naomba Mungu nisiweze kabisa kwenda tena kuleMungu atukuzwe kwaajili yako, hongera sana. Kuna kitu kizuri wale waliopita ukawasaidia haukuwasaidia wao tuu Bali Mungu alikunusuru na kukusaidia wewe.
Utaweza kabisa kaka, na Mungu yu Pamoja nawe. Tuzidi kuimarika haijalishi hali itakuwaje
Dah hatari ase Mungu alisaidiamkuu ulimkimbia Shetan kwny mdomo wake kabisaa
kabisaaDah hatari ase Mungu alisaidia
Uliwaza nini?Unajinyima furaha ..mkuu duniani tumekuja furahi ngoja nikuongeze mbinu mpyaView attachment 1620459
Uliwaza nini?
week ya 3 ( Siku 21) bila kupiga Punyeto.Leo ni siku ya Tano, tangu nimeamua kuacha Kupiga Punyeto.
Najua kuna namna na wengine wanapitia katika hali hii na hawapendi kupiga Punyeto, Napenda kukutaarifu kuwa inawezekana Mi nimedhamiria na kila siku katika hii Thread (Uzi) nitakuwa nawashirikisha hatua ninazopitia katika kuacha kwangu.
Ukiwa na ushauri ukiandika hapa itasaidia na wengine ambao wamedhamiria kuacha kupiga Punyeto au Kujichua. Si kila mtu anaweza kuweka wazi msimamo wake ila wengi wanatamani kujifunza jinsi ya Kuacha hivyo karibu tushirkishe na amini katika kusaidiana
Namshukuru Mungu nimedhamiria, nimekusudia Na Mungu ananiwezesha na Akili imeshasema noo Punyeto Tena.
Avatar yako imejaa vishawishi [emoji39][emoji39]Uliwaza nini?
Mkuu chaputa haustaafu, unapumzika kwa muda.Leo ni siku ya Tano, tangu nimeamua kuacha Kupiga Punyeto.
Najua kuna namna na wengine wanapitia katika hali hii na hawapendi kupiga Punyeto, Napenda kukutaarifu kuwa inawezekana Mi nimedhamiria na kila siku katika hii Thread (Uzi) nitakuwa nawashirikisha hatua ninazopitia katika kuacha kwangu.
Ukiwa na ushauri ukiandika hapa itasaidia na wengine ambao wamedhamiria kuacha kupiga Punyeto au Kujichua. Si kila mtu anaweza kuweka wazi msimamo wake ila wengi wanatamani kujifunza jinsi ya Kuacha hivyo karibu tushirkishe na amini katika kusaidiana
Namshukuru Mungu nimedhamiria, nimekusudia Na Mungu ananiwezesha na Akili imeshasema noo Punyeto Tena.
Mkuu cjakuelewa hapa fafanuaUnajinyima furaha ..mkuu duniani tumekuja furahi ngoja nikuongeze mbinu mpyaView attachment 1620459
Aisee mmeshaadhirikamkuu!, mi nina kama wiki moja sijapiga nyeto, ila leo siku ya nane kwa kujipongeza nikaamua kupiga kimoja.
[emoji3]Wee bado hujaiacha ,vuta mda utarudia tu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] woyooooooUlikuwa una matatizo mengine binafsi usiitie ubaya puri
Nina miaka zaidi ya 10 napiga puri na uwezo Wangu haujawahi kuwa wa mashaka mashaka hata siku moja.
Nina mademu wa5 hao ni official achana na wale wa kuuza mechi na kila wiki nagonga wa3 au zaidi kati yao na wote natungua 2+ nipo fiti kalikiti na situmii mkuyati wala shimboko ya Makasi
[emoji3]Si mchezo aiseeeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji3]naona unataka utufukuzie wanachama ni kiwa kama katibu wa CHAPUTA kanda ya kaskazini napinga vikali hoja yako usizingizie chama we ulikuwa na matatizo yako binafsi milango iko wazi kama utataka kurudi
aise[emoji3]Unajinyima furaha ..mkuu duniani tumekuja furahi ngoja nikuongeze mbinu mpyaView attachment 1620459
[emoji3]Mwaka wa 20 huu. Hata nikikaa miezi 8 itakuja siku nitashtua tu!!