Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
- Thread starter
- #41
Sasa wanavyo tuhamasisha tujifukize lengo lao nini haswa? Kama hata hiyo ina madhara mbona watanzania tutaisha kwa mtindo huo
Hawataki kujishughulisha na matatizo yenu, wanakupeni shortcut ili mpate hope kuwa kuna kitu kinafanyika na ili pia waweze kujivua lawama!