Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Mimi binafsi nilougua hii kitu. Hata uzi wangu upo humu na nilieleza jinsi nilivyokuwa nikijifukiza kwa siku mara 3 ila hali ndyo ilikuwa inazidi kuwa ngumu.
Nilikuja kupewa ushauru na sista angu ambaye ni nesi marekani kuwa nitumie dawa za kupunguza maumivu na aspilini junior. Na nijitahidi kupunguza kulala maana ukilala ndyo unazidi kuwa week na covid ndyo inachukua point kukushambulia.
So nikawa natumia izo dawa kila baada ya masaa 4 najisikia mwili upo safi natembea tembea bila kulala. Siku mbili tu nikawa kama nimepona.
Mke wangu naye akaugua hakupiga nyungi akatumia dawa za maumivu na kufanya mazoezi hata haikumchukua muda akarecover haraka sana.
Nilikuja kupewa ushauru na sista angu ambaye ni nesi marekani kuwa nitumie dawa za kupunguza maumivu na aspilini junior. Na nijitahidi kupunguza kulala maana ukilala ndyo unazidi kuwa week na covid ndyo inachukua point kukushambulia.
So nikawa natumia izo dawa kila baada ya masaa 4 najisikia mwili upo safi natembea tembea bila kulala. Siku mbili tu nikawa kama nimepona.
Mke wangu naye akaugua hakupiga nyungi akatumia dawa za maumivu na kufanya mazoezi hata haikumchukua muda akarecover haraka sana.