Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuongeza waumini kivipi na wapi Tanzania au Marekani?.Ni njia za kuongeza waumini hizo!!
Mchungaji anisamehe Kwa hilo
Dawa kutoka Madagascar mbona hawakusubiri,bali tuliona waheshimiwa wakiifakamia fastafasta.
Umeshasafiri kwa ndege za kimataifa kipindi hiki cha corona?Kanena vizuri, lkn anaweza kua aliambukizwa akiwa ndani ya ndege
Hata mimi habari hizi naziona zimekaa kaa kindivyo sivyo sana!!Kwa sababu unakaa Huko Huko na ulitoka Huko Huko huku unasema ulipata corona Tanzania na ukatibiwa Huko Huko Basi andiko na ujumbe wako unakosa uhalali wa kuaminika.
What if ukiwa umetumwa?
Shame.
Labda wanaccm kwa akili zao finyu hawawezi kujua nini ameongea,kwa kumsikiliza yule zuzu wao mropokaji tunasubiria kuwalaki mawinguni wale walioingia kwa uwizi wa kuraHuyu anataka kuwachanganya watanzania!
HahahahaahhahahaUkila tu tangawizi na pilipili kichaa ni utafiti tosha.
Nakutumia buku ukanunue ili utafiti!
Poa mm nimekuelewa tutajifukizaHapa sijui tufate maneno ya waliwengu, vyombo vya habari, viongozi wa dini, au tufate msimamo wa serikali..!
Ila poa tu tuendelee kujifukiza.
Hahahahahahahhaaha lazima wote tuwe makajibayJamaa wana plana nzuri sana ya kutibu korona. Na plana lama hiyo hutolewa na wizara ya afya. Hapa kwetu Gwajima asiishie tu kuonyesha anapiga nyungu na kunywa pilipili. Waandae muongozo kwa wataalamu wa afya wa jinsi ya kutibu hii kitu.
kuna watu wangu wa karibu wameugua Karibu ya kukata kamba acha mzaha kabisa, kuna mambo mazito yanaendelea walio kwenye mifumo ya afya wanaelewahuyu ni muongo na mnafiki, sibezi uwepo wa huu ugonjwa ila mwandishi wa hii story ni muongo na ana lengo lake spesheli
Pole ndugu yetu kwa kumpoteza mkeo. Mimi nimepoteza pia mtoto wa kakangu. Mwanangu ameugua, anaendelea vizuri, namshukuru Mungu.Hata amesema uwongo lakini unakaribia kabisa kuwa na ukweli. Mie nimempoteza mke wangu. Na yote aliyoyasema hapa yalipitia humohumo. In fact nilianza mimi kupata maambukizi yenye dalili zinazoshabihiana na andiko lake. Hivyo kama wewe hayajakufika ni rahisi tu kubisha.
La msingi serikali iweke miundo mbinu ya kushughulikia tatizo hili. Liko serious na watu wanateketea ndugu
Acha upumbafu asee mnajisikiaje kusikia kila siku watu wanakwama kupumuaUkweli tunaambiwa na mmarekani!!
Nchi hii hakuna dalili ya wapumbafu kupungua hebu Lete ukweliHuyu ni muongo na mnafiki, sibezi uwepo wa huu ugonjwa ila mwandishi wa hii story ni muongo na ana lengo lake spesheli
Kwake yeye akisema jiwe inatosha asee kuna watu huku Duniani wamepewa vichwa kwa bahati mbaya UTI wa mgongo tu ungewatosha sanaUlichapishwa kwenye Journal gani
Lengo lipi?Huyu ni muongo na mnafiki, sibezi uwepo wa huu ugonjwa ila mwandishi wa hii story ni muongo na ana lengo lake spesheli