#COVID19 Ushuhuda wa Mchungaji Godwin Chilewa kuhusu COVID-19: Je, tunamficha nani, kwanini na kwa Faida gani?

Ndungulile, Ndungulile, Ndungulile the professional doctor no matter what!
 
Huyu anataka kuwachanganya watanzania!
Acha ujinga ww nyote nyinyi Watanzania akili zenu zimechukuliwa na magufuli yeye mwenzenu kila cku anaangaliwa afya yake nyinyi mnabakia kujifukiza na kunywa malimau cha ajabu hata wataalamu wa afya wamekuwa mbumbumbu kwa woga wa kulinda nyadhifa zao huku mamia ya watu wakiendelea kufariki lakini mungu atawalipa wanavyostahili.
 
Mbwa MKUBWA wewe
 
Mpumbavu tu huyuu...mshenzi.
 
Wewe pia muongo na unaagenda yako ya siri. Jibu hoja kwa hoja na sio kupinga tu
Hayo mataga yenyewe ni kupinga pinga tu.
Diwani Athumani ana corona
Mkuu wa Magereza ana corona
Mkuu wa Uhamiaji ana corona
Halafu mtu mmoja anatokezea anasema hakuna corona hakuna chanjo
Mara tujifukize ,mara tutaishinda corona ,unashinda vipi na kitu ambacho huwez pambana nacho kwa kuchukua tahadhari.
 
Weka picha...acha umbea
 
Ila Gwajima pornboy ndiye unamuona mchungaji wa kweli
Wewe ni famba kweli
 
Point muhimu sana hii
 
Wewe ni mjinga, malaria inatiba je watu hawafi kwa malaria? Sasa huyo jamaa anashuhudia tiba alizopewa ,Akili yako wewe inakuambia ni nini Kama siyo tiba? Au wewe umeshakaririshwa tiba ni nyungu.
Basi ukiumwa usiwe unaenda hospital
Over
 
Ukiachana na wapi kaupatia
Vp kuhusu ujinga mwingine tunaoambiwa ?
 
Pilton my foot. Nna dozi za sindano za drip kila siku kwa muda wa siku 10 na mazaga zaga ya madawa kibao zikiwemo za kuongeza immune.

Na sijapona bado
Habari za siku nyingi sana Angel! Nimefurahi sana kukuona tena hapa jukwaani na pole kwa matatizo. Mungu akuponye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…