Ushuhuda wa mke wangu kupona COVID19 baada ya kumuombea kwa kutumia medium ya new annointing water ya TB Joshua

Ushuhuda wa mke wangu kupona COVID19 baada ya kumuombea kwa kutumia medium ya new annointing water ya TB Joshua

Jamani huyu ndugu yangu aliwahi kuishi Mwanza akifanya kazi kwenye bank kubwa sana hana njaa yeyote ya kuwataka mnunue hiyo anointed water anatoa ushuhuda wake na kwa imani yake mke wake kaponywa nadhani mngepatwa na mtihani aliopitia msingemkejeli
 
Lumumba Fc on the beat
Halafu verified member
Mboga mboga avatar
Praise team grade one
Anyway hongera sana kwa gazeti refu but non sense


Ukaamua kuweka na namba ya simu aisee bora umekumbuka,bila kusahau CV yako
Mataga mna vituko sana walaah,



cc mataga
cc Lumumba fc

Povu ruksaaaaa!

the terrible!
 
Aliyeponya ni YESU KRISTO au ni maji? YESU ni MUNGU hana haja ya maji aliyoyaumba Leo yaje yamsaidie! Sipepesi macho ndugu aliyemponya ndugu yako kwa msaada wa maji ni shetani!! Unamsingizia kama wengi want to sing I is ova!
 
Acha umbea. Kama maombi yanafanya kazi kwanini sasa mnahangaika wakati taifa limejazwa ujinga. Aliombewa kwani yeye maiti? Kaombe Corona iishe kesho. Kumbe bado tunao akina Kibwetere wengi. Unamjua Kibwetere yule mganda aliyeteketeza majuha wengi kwa ahadi ya kwenda mbinguni.
 
Lumumba Fc on the beat
Halafu verified member
Mboga mboga avatar
Praise team grade one
Anyway hongera sana kwa gazeti refu but non sense


Ukaamua kuweka na namba ya simu aisee bora umekumbuka,bila kusahau CV yako
Mataga mna vituko sana walaah,



cc mataga
cc Lumumba fc

Povu ruksaaaaa!

the terrible!
[emoji1][emoji1][emoji23][emoji2][emoji2][emoji3][emoji3]
 
Karibuni tuanzie hapa:
1. Maana ya uponyaji
ni kumfanya mtu mgonjwa kimwili, kiakili au kiroho apate afya njema..
(A) JE, uponyani wa kimuujiza LEO, hufanywa kwa nguvu na uwezo WA MUNGU ALIYETUUMBA? ( toa jibu la ndio au hapana)
ni vgumu kujbu hapo. Mpaka ujiulize tena hvi
(a) je uwezo na nguvu za kufanya miujiza waweza toka chanzo kingine tofauti na MUNGU ALIYETUUMBA? Jibu ni ndio. Fikiria haya.
Musa na HARUNI. Waligeuza fimbo kuwa nyoka mbele ya farao huko misri.. Farao nae akaita wachawi na makuhani wake wakageuza fimbo zao kuwa nyoka.. Nguv na uwezo waliupata toka kwa nani? Mungu au chanzo kingine?
(b) onyo alililota YESU Kwenye mathayo 24:24.. Wakristo wa uwongo na manabii wa uongo watatokea na kutoa ishara kubwa na maajabu (yaani miujiza).. Je nguvu na uwezo watapata toka chanzo gan? Mungu ! Au chanzo kingine?
Ndugu zangu. Je tunaweza sasa kutoa jibu kwa swali la A ? bado. Mpaka pia tujiulize SWALI (B) Nitaliweka
 
B) maponyo au uponyaji wenye kusisimua (au mvuto) wa leo, hufanywa kwa njia ile ile ya YESU, MANABII Na wafuasi wa mapema wa yesu walivyofanya?
Kujibu swali hili ELIMU ITUMIKE..(UTAMBUZI NA UCHAMBUZI)
Hahaahahaa. Hebu ona haya yafuatayo
1.watu wamelishwa majana kama mbuzi (na manabii au waponyaji)
2.watu wengi wamekufa wakikanyaga mafuta kwa manabii . Tena mafuta ya kutuponya. Eti yanatuua tena.
3. Watu wameangukiwa na majengo wakiwa kwa waponyaji .. (na mponyaji kawakimbiza hospitali kutibiwa na wengine wakafa
4. Watu wametembea juu ya maji na wakazama.. (kujiona manabii na kutaka kujithibitisha.)
5. Watu tumenyweshwa vikombe (kikombe cha babu cha kiuponyaji)
Tusichoke. Twende tujibu swali B... Nafurahi kuona hzo dondoo hapo juu znatoa mwanga.
majibu.
(a) malipo: andiko la mathayo10:8..ponyeni wagonjwa, fufueni wafu,fukuzeni roho waovu. Mlipewa bure na toeni bure.. je, Uponyaji leo ni bure? Mafuta ya upako, maji ya ubavu wa yesu, vitambaa vya upako . Je ni bure au pesa?.
 
Mkuu maelezo yote haya ni ya mkeo kupona kovidi? Acha ufala siku nyingine sawa? Hivi mkishakuwa ccm lazima muwehuke? Kwa taarifa yako huko chamani wanaamini hakuna kovidi bali ni mapepo tu
 
SWALI B. JE UPONYAJI WA LEO NI KWA NAMNA ILEILE ALIYOPONYA YESU, MITUME NA MANABII?.
tutafakari
(b) kiwango cha mafanikio
(i)luka 6:19 yesu aliponya umati. Matendo 5:15-16 petro aliponya umati. .
leo je, Kwenye majukwaa ya makongamano,warsha ,semina za kiuponyaji wangapi huponywa, kati ya wanaoponywa wangapi unawafahamu.? Kati ya unaowafahamu iliwachukua muda gan kupona mpaka huuite muujiza?...
(c) namna ya kufanikiwa..
tofauti na enzi za yesu na mitume wa mapema. . Leo wagonjwa ni wengi hospitali znajaa. Waponyaji mpo wap? Mnataka tu mfuatwe? Kaponye mahospitali,majumba na hata barabaran.(walemavu mkiwakuta simamishe RAV4 , RANGES ZENU MUWAPONYE MUENDE)
(d) visingizio hali ikiwa tete.
Huenda ukaambiwa mgonjwa wako hana IMANI... YESU HAKUWAHI Kushindwa kumponya mtu eti kakosa imani.
(e) maisha ya waponyaji. (simaanishi utajir na umasikin wao)
Je, ni waadilifu? Niwashikamanifu wa ndoa zao. Je hawawi CASINO wakila raha?
Sasa tujibu swali Hili
1. NINI CHANZO CHA NGUVU KWENYE UPONYAJI WA MIAKA YA LEO?
 
Nina watu ninaowafahamu walitumia hayo maji yenu na hakuna kilichobadilika hata chembe pamoja na kubandika masticka ya huyo TeraByte Joshua kila mahali. Halafu mbna jamaa ni mtu wa kawaida sana lakini mmefanya kama Mungu?
 
Umejiunga jf Asubuhi ili upost hii habari mchana. Sawa, tumekusoma. Hivi Mohammed hatibu?
 
Back
Top Bottom