Ushuhuda wa mke wangu kupona COVID19 baada ya kumuombea kwa kutumia medium ya new annointing water ya TB Joshua

Ushuhuda wa mke wangu kupona COVID19 baada ya kumuombea kwa kutumia medium ya new annointing water ya TB Joshua

Watu humu wanakubeza tu kwa sifa za kijinga hawajawahi kuwa kwenye critical situation ya ugonjwa na solution za ma Dr zimeshindwa, honestly Mimi anointing water umewahi kuni save Leo ningekuwa kaburini maana hali yangu was bad, baadaeya ku sprayiwa nikawa mzima, miujiza hutendeka kila siku sema watu hawaini science and technology na kutumia techno kumewaharibu
Ulipata shida gani?
 
Mkuu haya haya haya maji ya tapeli Joshua? Hivi ukiomba wewe mwenyewe kwa imani huwezi kusikilizwa?
Hayo hayo mkuu, and I was in critical condition hata kujua haya maji ni ya joshua, au mwaposa sikujua I was in comma, laying on my bed bila kujua chochote, so nilivopuliziwa I came to my sense mzima, even dr alishasema huyu kupona ni majaliwa. Wewe mwenyewe ukitumia power zako vizuri waweza kufanya makubwa, ombeni tu yasiwakute muwe wazima daima, ukiwa na mgonjwa jambo limeshindikana hospital utatumia kila mbinu kusaidia kuokoa maisha
 
Huo ugonjwa mkeo kaupatia wapi ma sisi raisi katumbia hakuna huo ugonjwa Tanzania. CCM huwaga kwenye 18 mnajichangaya wenyewe

Nahitaji majibu kuhusu hili

1. Mkeo alikuwa mgonjwa unadhani atakuwa ameambukiza wangapi ?

2.tunapoambiwa huu ugonjwa haupi tz yeye kautolea wapi

3. Hao wanaosema ugonjwa haupo na wana mamlaka ya uwongozi unadhani hao ni viongozi wazuri na wanafa kuliongoza taifa hili

4. Unaamini huo ugonjwa upo katika jamii na kama upo je? Upo kwa kiasi gani?

Leslie Mbena nakusubiri
Mama Amon
 
Unashangaa hilo..., wengi wanapona tu Corona bila kufanya lolote......

Kinga zao zina-overcome..., mwisho wa siku vita vya kirusi ni mwili wenyewe ndio unafanya yake...., hata ile chanjo ni kuipa information kinga kwamba huyu jamaa akija hafai, siku akija pambana nae...

By the way Imani yako Itakuponya (hivyo unachokiamini kitakusaidia sana wakati unangoja kinga zifanye yake)
 
Hamna kitu hapo. Kwani mngetumia Jina la Yesu tu asingepona? Yaani unasahau kukemea kwa Jina la Yesu lakini unakumbuka kutafuta maji ya TB Joshua! Mbona kichekesho?
 
Mtoa mada

Wananchi wamekukataaaa😂😂😂😂

Jf bhana unaweza jikuta umeandika uzi mrefu halafu watu wakakujibu kiufupi tu
😁😂😂😂
 
Mleta mada unajitafutia matatizo tu bure, Serikali ilishasema hakuna corona na kama ipo basi kuna wenye mamlaka ya kutangaza na siyo wewe, sasa naona umeamua kujilipua kwa kuwawekea na namba ya simu ili wakupate kirahisi
 
Hayo hayo mkuu, and I was in critical condition hata kujua haya maji ni ya joshua, au mwaposa sikujua I was in comma, laying on my bed bila kujua chochote, so nilivopuliziwa I came to my sense mzima, even dr alishasema huyu kupona ni majaliwa. Wewe mwenyewe ukitumia power zako vizuri waweza kufanya makubwa, ombeni tu yasiwakute muwe wazima daima, ukiwa na mgonjwa jambo limeshindikana hospital utatumia kila mbinu kusaidia kuokoa maisha
Mkuu mimi sijakataa hata siku moja kuhusu kuomba. Na mtu ukiwa kwenye shida ni kweli lazima utatafuta kila suluhisho wakati mwingine hata usijue ni nini hasa kimekuponyesha. Ila kuhusu maji ya Joshua kusema ukweli siamini hata kidogo. Yule jamaa mimi naona ni mtafuta fedha tu. Yesu hata siku moja hakuwa anauza huduma yake sana sana alikuwa anawafuata wahitaji badala ya wahitaji kumfuata. Huyo jamaa watu wameshambulia sana kwa sababu ya background yake. Siyo mtu wa kuamini kwani wanasiasa siku hizi ndiyo wanaongozo kwa utapeli na inaonekana kabisa kuna kitu analenga
 
Nina watu ninaowafahamu walitumia hayo maji yenu na hakuna kilichobadilika hata chembe pamoja na kubandika masticka ya huyo TeraByte Joshua kila mahali. Halafu mbna jamaa ni mtu wa kawaida sana lakini mmefanya kama Mungu?
Mkuu Zabron Hamis heshima kwako. Kutokana na hayo uliyoandika naomba nikuulize maswali machache:-

1. Hivi Covid-19 ilianza lini?
2. Hivi Anointing water & Sticker media (Point of contact) ambayo ndugu yetu anashuhudia kwamba kupitia kwake MUNGU amemponya Mke wake imeanza kutumwa lini kwa Emmanuel TV partners? Je hao unaowasema walizipata jini?
3. Ninavyojua kila partner akitumiwa kifurushi kinakuwa na Anointing water moja na Sticker mbili, sasa hao jamaa zako wameyapata wapi hayo masticker uliyosema wameyabandika bila kupona Covid-19?
4. Hivi mkuu ni lazima kila post utoe comments?

Ahsante
 
Hakika Bwana Yesu ndie mweza wa yote hakuna kama yeye. Kila atakayemtazama kwa kumaanisha atapokea uponyaji
 
Mkuu mimi sijakataa hata siku moja kuhusu kuomba. Na mtu ukiwa kwenye shida ni kweli lazima utatafuta kila suluhisho wakati mwingine hata usijue ni nini hasa kimekuponyesha. Ila kuhusu maji ya Joshua kusema ukweli siamini hata kidogo. Yule jamaa mimi naona ni mtafuta fedha tu. Yesu hata siku moja hakuwa anauza huduma yake sana sana alikuwa anawafuata wahitaji badala ya wahitaji kumfuata. Huyo jamaa watu wameshambulia sana kwa sababu ya background yake. Siyo mtu wa kuamini kwani wanasiasa siku hizi ndiyo wanaongozo kwa utapeli na inaonekana kabisa kuna kitu analenga
Lengo lake limefeli vibaya sana.
Kwamba kusali tu na kuomba na kutumia anointed sijui kitambaa na maji na mafuta, za mafarisayo wa kizazi kipya vinatosha kutibu CORONA.
Kama watawala wanavyotuambia.

Bahati mbaya background ni ya kutafuta kuonekana na kina fudenge, yupo loyal.
Hata hii kaleta ili kutafuta mamluki.

Nimshauri aje tulime huku Morogoro, mvua jua zipo vizuri, anaweza kufanikiwa endapo, ataonekana na wateuzi anahamasisha vijana kilimo kama ajira.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Huo ugonjwa mkeo kaupatia wapi ma sisi raisi katumbia hakuna huo ugonjwa Tanzania. CCM huwaga kwenye 18 mnajichangaya wenyewe

Nahitaji majibu kuhusu hili

1. Mkeo alikuwa mgonjwa unadhani atakuwa ameambukiza wangapi ?

2.tunapoambiwa huu ugonjwa haupi tz yeye kautolea wapi

3. Hao wanaosema ugonjwa haupo na wana mamlaka ya uwongozi unadhani hao ni viongozi wazuri na wanafa kuliongoza taifa hili

4. Unaamini huo ugonjwa upo katika jamii na kama upo je? Upo kwa kiasi gani?

Leslie Mbena nakusubiri
Mama Amon
Akijibu aongezee na jinsi nyungu na bupiji ilivyomsaidia.
 
Wizzzzi mtupu, sijui bupiji, sijui nimrcafr, mara covido, maji ya upako wotee huo ni wizi tuu mnawaibia waTz tuu
 
Back
Top Bottom