Ushuhuda wa ndoa ya wazazi wangu, baba aliachishwa kazi ghafla miaka 14 iliyopita. Mama amekuwa ndio kila kitu

Ila wewe miaka 14 kuweza? Sio kwamba siku 2 tu ushaanza kumpelekesha Mzee wa watu?
Mimi sitaweza kwakweli, miaka 14 bila kitu cha kufanya seriously??.. Labda kama ni ugonjwa maybe kapalarize au ulemavu nitavulimia ila sio tu kukaa bila kufanya kitu na ana nguvu zake anakula tu na kulala
 
Kwahiyo katika hiyo miaka 14 alikuwa anafwatilia kesi tuu bila kujishughulisha na kitu kingine?? Mfano kusaidiana na bimkubwa hizo kazi ndogo ndogo au hata kamchongo kengine?? Miaka 14 yote???
 
Mimi sitaweza kwakweli, miaka 14 bila kitu cha kufanya seriously??.. Labda kama ni ugonjwa maybe kapalarize au ulemavu nitavulimia ila sio tu kukaa bila kufanya kitu na ana nguvu zake anakula tu na kulala
Sasa kibarua kimeota nyasi Mama uwe na uvumilivu siku moja atapata tu hata baada ya miaka 20, univumilie kesho nitapasua mawe
 
Sasa kibarua kimeota nyasi Mama uwe na uvumilivu siku moja atapata tu hata baada ya miaka 20, univumilie kesho nitapasua mawe
Kwakweli mimi hapana.. Nitamtafutia mtaji ilimradi tu apate hata biashara sio tu kukaa hivihivi
 
Kwakweli mimi hapana.. Nitamtafutia mtaji ilimradi tu apate hata biashara sio tu kukaa hivihivi
Kwa hio wewe ndio unatoa mtaji akiuliza umeutoa wapi na wewe huna kazi ya kueleweka zaidi unanijibu nini?
 
Kwa hio wewe ndio unatoa mtaji akiuliza umeutoa wapi na wewe huna kazi ya kueleweka zaidi unanijibu nini?
Ndomana napambana nijipate kabisa kiuchumi ndo niingie kwenye masuala ya mahusiano na mapenzi na mtoto wa mtu,, hope mpaka nitakapofunga ndoa nitakua niko somewhere hatakua na mashaka
 
Your story ni sawa na yangu. Japo mimi wote walianza saidiana kwa sababu before mama alikuwa mama wa nyumbani tu. RIP mzee, ulitupigania sana.
 
Ndomana napambana nijipate kabisa kiuchumi ndo niingie kwenye masuala ya mahusiano na mapenzi na mtoto wa mtu,, hope mpaka nitakapofunga ndoa nitakua niko somewhere hatakua na mashaka
Aaaha kwa hio mpaka uwe na akiba ya kutosha ndio unaingiamo huko ili kusudi likitokea la kutokea unafanya utatuzi wa haraka, duuh kumbe upo singo au umetoa mfano
 
Mwanamke akikupenda kweli hawez shindwa fanya chochote kwaajili yako. Kumbuka hao hao wanawake unaosema wanapenda pesa huwa wanaenda kuwahonga wanaume wanaowapenda
 
Mwanamke akikupenda kweli hawez shindwa fanya chochote kwaajili yako. Kumbuka hao hao wanawake unaosema wanapenda pesa huwa wanaenda kuwahonga wanaume wanaowapenda
Hii ina kaukweli fulani hivi emu ondoa password hapo
 
Reactions: _ly
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…