jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,530
- 9,550
Mtandao huu take easy hata nakuzingua mamaDaah pole mshkaji wangu. I thought tunabadilishana tu mawazo, kumbe dooh. Chukulia poa tu
Fresh brazaMtandao huu take easy hata nakuzingua mama
Likuepukalo lina heri naweMbona fresh tu, inakuwa sio riziki yako muhimu umtakie heri huko aendako
That is the point.Mbona fresh tu, inakuwa sio riziki yako muhimu umtakie heri huko aendako
KabisaLikuepukalo lina heri nawe
[emoji124]
Mwambie muda sio rafiki....Wakuu,
Hapa ninavyoandika ni kuwa harusi inanguruma kanisani na ni karibu na maeneo ya shoga yangu kipenzi.
Alinipigia simu nikambembeleze maana mwanaume aliyekuwa naye alimuacha kwa kuwa alimnyima 'utamu' .
Ananiambia huyo jamaa walikaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi ila jamaa alikuwa anataka abebe mimba ndio amuoe.
Dada wa watu ni mlokole akamwambia asubiri kwanza mpaka wafunge ndoa.
Jamaa akamuacha akaanza mahusiano na mtu mwingine kwa siri. Akapewa tamu mimba ikaingia.
Jamaa fasta kamvisha pete na leo ndio ndoa yenyewe.
Dada alipo hapa anamwaga chozi...
Haiboo! My shem is on point [emoji4]Huyo hakuwa wake.....Mungu hakupi unachotaka anakupa unachostahili,..ningekuwa mm ndio yeye ningepiga goti madhabahuni na kutoa sadaka ya shukrani kwasababu tumeambiwa tushukuru kwa kila jambo,.
Mungu akawe mfariji wake.
Ooh[emoji4][emoji4]shem heloowHaiboo! My shem is on point [emoji4]
HaswaaLikuepukalo lina heri nawe
[emoji124]
Teh kwa kweli sadaka muhimu.Huyo hakuwa wake.....Mungu hakupi unachotaka anakupa unachostahili,..ningekuwa mm ndio yeye ningepiga goti madhabahuni na kutoa sadaka ya shukrani kwasababu tumeambiwa tushukuru kwa kila jambo,.
Mungu akawe mfariji wake.
[emoji4] [emoji4] [emoji4]Ooh[emoji4][emoji4]shem heloow
Unaweza kudhani mbuzi kumbe nguruwe pori mkuu.Kwani haifai bila kutest?
Hiyo ina itwa maturityHaswaa
Inauma kwa muda tu then atapoa tu, kuna ile mtu ulimpenda + mazoea ndo yanaumiza. Inawezekana kabisa yeye angebeba mimba na hata asiolewe, akaishia kuwa single mom tu. Wapo wanawake wengi tu walikuwa wanabembelezwa wazae, now hawaamini kilichowakuta after kubeba mimba; kuzaa sio kuolewa.
Kama anachokifanya, anakifanya kwa ajili ya Mungu wake, she is doing the best thing na Mungu anayemtumania wala hatomuacha aaibike. God has something very amazing in store for her, awe tu mvumilivu, atalia machozi ya furaha na kusema Mungu ahsante nilipita tu kule. Nampa hongera, maana wengi wetu huwa tunachagua tamaa zetu, tunamuweka Mungu wa pili; na huwa tunavuna tunachopanda kwa kweli