Ushuhuda wadada: Ulijisikiaje siku mpenzi wa zamani alipooa wakati wewe bado hujaolewa?

dah nyie acheni tu,naweza kusema ni zaidi ya kuumia kupenda ni mtihani nyie.Mie nilikaa week kama chizi yani dah,acha tu mtu anakuja anaingia moyoni mnakuwa mnapendana na kuzoeana then mwisho wa siku ana change unaweza kujinyonga,thanks god niko salama lakini kwa kilichonikuta dah mungu ndo anajua
 
Mwambie muda sio rafiki....

Mwanamme mwingine akijitokeza mwambie atoe utamu la sivyo ndoa ataishia kuziona kwenye bango kipindi kinachorushwa TBC
 
Huyo hakuwa wake.....Mungu hakupi unachotaka anakupa unachostahili,..ningekuwa mm ndio yeye ningepiga goti madhabahuni na kutoa sadaka ya shukrani kwasababu tumeambiwa tushukuru kwa kila jambo,.

Mungu akawe mfariji wake.
Teh kwa kweli sadaka muhimu.
Wababaishaji huwa wana masharti kama waganga, waoaji akhaaa
 



Mnaleta ulokole kwenye mapenzi hahaha mtaishia kupamba madhabahu
 
Tena avumilie tu siku zote mungu amuachi mja wake ni jambo la kitambo kidogo tu,sema itauma sababu ni hukutarajia ila baadhi ya me si watu wazuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…