ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
- Thread starter
- #21
Dogo tu mdogo hawa wa kutumwa kuuza mayai age labda miaka 15..Huyo fara ungemkata Banzi Kwanza .
Kila kitu huanzaga Kama uzushi vile ila ndio kinatokea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo tu mdogo hawa wa kutumwa kuuza mayai age labda miaka 15..Huyo fara ungemkata Banzi Kwanza .
Kila kitu huanzaga Kama uzushi vile ila ndio kinatokea.
Sure!! Mfano kisa kimoja ktk hivyo viwili nilivyoshuhudia kilitokea Chuoni, Mshkaji alikua ni Mwalimu wa Secondary iliyopo karibu na chuo, akawa anamuhudumia demu fresh tu, akampa PC yake ili demu a file vitu vyake vizuri, kumbe demu anamshkaji mwengine wanasoma wote, Teacher akagundua akaona isiwe taabu ajikatae kivyake, sasa alipofuata PC yake hostel kwa demu ndo kisanga kikamkuta! Demu akamuitia Mwizi maana Teacher alimkuta na hako kajamaa kake, Dem ili kuzuga akaamua amuitie mwizi tu!Duuuh,kuna watu makatili sana
Dawa akikuitia mwizi kaa hapo hapo. Usiondoke. Halafu wakifika pale wale watu anza kutoa vielelezo kuwa unajuana na huyu mtu na ulifikajefikaje hapo mlipo.Duh aiseee inatisha.
Imenikumbusha ule mkasa wa dada wa chuo mabibo hosteli kumuitia Mpenzi wake ukunga wa mwizi na kurestishwa in peace.
Pole sana
Huyu jamaa alikua yule wa SAUT?Sure!! Mfano kisa kimoja ktk hivyo viwili nilivyoshuhudia kilitokea Chuoni, Mshkaji alikua ni Mwalimu wa Secondary iliyopo karibu na chuo, akawa anamuhudumia demu fresh tu, akampa PC yake ili demu a file vitu vyake vizuri, kumbe demu anamshkaji mwengine wanasoma wote, Teacher akagundua akaona isiwe taabu ajikatae kivyake, sasa alipofuata PC yake hostel kwa demu ndo kisanga kikamkuta! Demu akamuitia Mwizi maana Teacher alimkuta na hako kajamaa kake, Dem ili kuzuga akaamua amuitie mwizi tu!
Wananchi nao wakawa hawana cha kujiuliza, yaani jamaa alikufa akiwa kavaa shati, suruali ya kitambaa na moka zake, dizain kama alitoroka Job kidogo akachukue PC ndo yakamkuta, ilikua saa nne asubuhi.
Pole sana mkuu,
Mwaka 2016 kuna dogo alimnunulia Godoro mpenzi wake, sasa siku moja dogo kampigia simu huyo babe wake huyo akawa hapatikani, licha ya kupiga Mara kadhaa hali ikawa ile ile, dogo akaona isiwe kesi, akatimba kwa mpenzi bila taarifa, ndipo alipomkuta bonge la bwana miraba minne, ambapo hangeweza hata kuanzisha ugomvi.
Njemba ikaondoka ikamwacha yeye dogo na demu wake,kama kupatana wapatane au waachane njemba haikutaka kujua,
Dogo akaona kuliko kuendelea na demu Malaya na mchafu, bora achukue godoro lake,
Akaingia inside akachomoa mattress yake tano kwa sita inches nane, akatoka nalo nje, ndipo ukawa mwisho wa maisha yake baada ya kupigiwa kelele moja tu.,
Mwiziiiiiiiiiio ananibia godoroooo,
Raia walikotoka na hasira zao, na ukizingatia dogo kakutwa na ushahidi, Godoro Dodoma ipo mgongoni?
Hili tukio lilinitesa kwa muda mrefu sana kulingana na nilivyomjua yule dogo, tuliheshimiana, aliniita Faza , alinikubali na nilimkubali kinomanoma, yaani Kuna wale madogo hata ukimtuma kitu hakatai kutokana na mnavyoheshimiana, nililia sana, ama kweli Dunia haina huruma.
Kwann haukufahamisha familia yake ili huyo binti afikishwe mahakani. Maana hawa mabinti wa siku hizi wanajifanya akili zipo fyatu sana sasa bila kuwaadabisha wanakuwa wanajiona ni werevu. Sasa inabidi wapatikane wachache wa kuwatolea mfano.Pole sana mkuu,
Mwaka 2016 kuna dogo alimnunulia Godoro mpenzi wake, sasa siku moja dogo kampigia simu huyo babe wake huyo akawa hapatikani, licha ya kupiga Mara kadhaa hali ikawa ile ile, dogo akaona isiwe kesi, akatimba kwa mpenzi bila taarifa, ndipo alipomkuta bonge la bwana miraba minne, ambapo hangeweza hata kuanzisha ugomvi.
Njemba ikaondoka ikamwacha yeye dogo na demu wake,kama kupatana wapatane au waachane njemba haikutaka kujua,
Dogo akaona kuliko kuendelea na demu Malaya na mchafu, bora achukue godoro lake,
Akaingia inside akachomoa mattress yake tano kwa sita inches nane, akatoka nalo nje, ndipo ukawa mwisho wa maisha yake baada ya kupigiwa kelele moja tu.,
Mwiziiiiiiiiiio ananibia godoroooo,
Raia walikotoka na hasira zao, na ukizingatia dogo kakutwa na ushahidi, Godoro Dodoma ipo mgongoni?
Hili tukio lilinitesa kwa muda mrefu sana kulingana na nilivyomjua yule dogo, tuliheshimiana, aliniita Faza , alinikubali na nilimkubali kinomanoma, yaani Kuna wale madogo hata ukimtuma kitu hakatai kutokana na mnavyoheshimiana, nililia sana, ama kweli Dunia haina huruma.
Yupo gerezani hadi leo hii, japo naye alinusurika kipigo kutoka kwa raia lakini akawa kwenye mikono salama ya polisiHuyo binti alichukuliwa hatua yoyote?
Mkuu baada ya kifo Cha dogo na majirani kadhaa kueleza kuwa huyo ni mpenzi wake wa siku nyingi raia walitaka kumpiga yule Binti lakini uwepo wa polisi ukamuokoa , na yupo gerezani hadi hii leoKwann haukufahamisha familia yake ili huyo binti afikishwe mahakani. Maana hawa mabinti wa siku hizi wanajifanya akili zipo fyatu sana sasa bila kuwaadabisha wanakuwa wanajiona ni werevu. Sasa inabidi wapatikane wachache wa kuwatolea mfano.
Yes... huyo huyo... nadhani 2011/2012 hivi.!Huyu jamaa alikua yule wa SAUT?
Hata ukikaa Kuna watu wakifika hawaulizi, omba MUNGU tuDawa akikuitia mwizi kaa hapo hapo. Usiondoke. Halafu wakifika pale wale watu anza kutoa vielelezo kuwa unajuana na huyu mtu na ulifikajefikaje hapo mlipo.
Mwisho wa siku msikilizwe nyote ukweli utajulikana. Hakikisha unamalizana nae kwa gharama kubwa upande wake ili iwe fundisho kwake na kwa wenzake wenye tabia kama yake.
NAKAZIAWezi huwa wanaiba kweli na wengi wa wanaochomwa moto ni wezi kweli. Huko mitaani tunajulikana na wengine wanaonywa kila uchwao kwa tabia zao za wizi ila wanabisha siku akitiwa petrol stori kama yako inaanza
Mkuu, Hilo zogo la raia unafikiri utasikilizwa?Dawa akikuitia mwizi kaa hapo hapo. Usiondoke. Halafu wakifika pale wale watu anza kutoa vielelezo kuwa unajuana na huyu mtu na ulifikajefikaje hapo mlipo.
Mwisho wa siku msikilizwe nyote ukweli utajulikana. Hakikisha unamalizana nae kwa gharama kubwa upande wake ili iwe fundisho kwake na kwa wenzake wenye tabia kama yake.
Safi sanaMkuu baada ya kifo Cha dogo na majirani kadhaa kueleza kuwa huyo ni mpenzi wake wa siku nyingi raia walitaka kumpiga yule Binti lakini uwepo wa polisi ukamuokoa , na yupo gerezani hadi hii leo
Ukikimbia unajenga mazingira ya utata kuaminiwa bora ubakie hapo hapo halafu uombe kusikilizwa kwasababu watu wanakwenda kufanya kosa kubwa sana hakuna anayekujua hapo na wala wewe haumjui mtu yoyote kutoa huyu anaekuitia mwizi.Hata ukikaa Kuna watu wakifika hawaulizi, omba MUNGU tu
Sasa hapo kuna mazingira ambayo yatashawishi raia kutokukusikiliza. Mfano umekimbia kipande umeenda kukamatiwa huko mbeleni. Au mtu kaanza kukuitia mwizi wewe unakimbia sababu unataka kuokoa maisha yako. Raia wakikukamata hawatakuwa na muda wa kukuhoji wataenda straight kukupa kichapo.Mkuu, Hilo zogo la raia unafikiri utasikilizwa?