Ushuhuda: Wanaochomwa moto kwa kuiba siyo kweli wote ni wezi

Ndege john masahibu yanakuandama tangu ulivyokuwaga Lumumba buku 7 2013, 14 and 15 ulikuwa unatushambuliaha sana bavicha humu. Machozi tuliyokuwa tunalia ukimshambulia mzee wetu kipenzi Lowassa yalitiririka mfano wa mto umbwe. Omba msamaha na uungame lazima utuombe msamaha lasivyo lasna
 
ifike hatua iwe ni jino kwa jino,yaani mi ni bora nivunje chungu
 
Tena Sasa nimegundua hivi vishikaji vya kuvinunilia smart, wengi ni vinafki na waongo waongo sana na ndiyo hai kutwa vinashinda bar huku mfukoni havina kitu!
Vitakua vizawa vya huku huku dar lazima
 
Hiyo cha mtoto unampa demu lift añafika anapokwenda unasimama ashuke anakwambia mlipe pesa zake kwa uchi aliyokuuzia usiku kucha, hapo ndio utajuwa maharage ni mboga au kitoweo, halafu RAIA wamejaa pembeni wanawazoom tu.

sitoi lift hata kidogo. Maeneo ya mwenge kipindi cha nyuma kuna afisa fulani roho yake nzuri ilikuja kumtokea ili ilibidi kumpa milioni kipindi hiko.tena kavizia sehemu ya kumchafua aliposhushwa
 

Mitaa ya mabibo,tandale,manzese,mburahati na magomeni kuna mwenyeketi wa wahuni. kama unafahamiana nao ni rahisi kukuokoa
 
Mtu akimfanyia hivi ndgu yangu na mimi namuua.
Siwezi kumuacha hai.
 
Hao wanaopiga wezi mpaka kuwachoma moto ni hasira za kuibiwa au ni hulka yao kupenda kuua watu ama kuona watu wakiteseka na kipigo walichowapa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…