#COVID19 Ushuhuda wangu kuhusu janga la COVID-19

#COVID19 Ushuhuda wangu kuhusu janga la COVID-19

SUASO

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2017
Posts
770
Reaction score
1,192
Habari ndugu zangu wana Tanganyika na Zanzibar!

Poleni kwa magumu tunayopitia, pia hongereni kwa zawadi ya uhai!

Najua humu JF familia kubwa tunaweza shirikishana Mambo mengi, leo naomba tushirikishane kuhusu Corona.

Wapo waliougua na kufariki( R.I.P), wapo waliougua na kupona, wapo waliouguza ndugu, jamaa, rafiki wakafariki Lakini wapo waliouguza na mgonjwa akapona,

Kwa phase zote 3, wimbi la 1, 2 Hadi hili la 3.

Naomba tujaribu kushirikishana uhalisia, ushuhuda wa corona ktk muktadha niliojaribu kuelezea hapo juu.

Kwangu Mimi ninao ushuhuda 2.

MOSI! Katika wimbi la kwanza tulimpoteza jirani yetu, yule Mzee ni mstaafu wa Serikali, alikuwa anaafya njema tu, alikuwa anapenda kujumuika jioni kwenye Bar fulani kupata kinywaji na kucheza Draft, corona ilivyoanza mzee akasitisha kuhudhulia Bar

Lakini baada ya muda km siku 3 akaanza kuhisi kuumwa, ikaamua aondoke kwenda Dom, kufika huko Hali ikawa mbaya zaidi, kalazwa na kupewa mtungi wa gesi.

Kabla ya kifo siku moja alikuwa vizuri kidogo na aliweza kuongea na simu, Lakini Hali ikabadilika ghafla na kupelekea kifo,
Ilikuwa majonzi Sana.

PILI!! Hii Ni wimbi hili la tatu, wiki hii ktk kundi letu la WhatsApp kuna memba moja akatuambia tumuombee maana changamoto ya upumuaji imemkabili.

Tukachukulia kawaida, jana imetoka taarifa yule memba umauti umemkuta,

Hakika Ni huzuni Sana, kifo kipo lakini kifo chakuona unakielekea kinauma zaidi.

Naomba tushirikishane/ ku-share matukio au ushuhuda kuhusu corona Kama umeugua au umeuguza vipi Hali ilikuaje?

  • Ulianza/ alianza kujisiakiaje Hadi kujua Ni corona?
  • Changamoto zipi ulipitia Hadi kuanza kupata nafuu?
  • Je, ulipata matibabu gani?
  • Kama ulikuwa hospital vipi Hali kwa Wagonjwa wenzio?
  • Je, ilikuchukua muda gani kupona na kurudi ktk Hali ya kawaida?

Kupitia ushuhuda wako tunaweza saidia wengine pia, corona IPO ndugu zangu, na watu wanakufa!

Karibuni sana wakuu!
 
Corona ni Tauni imeingia mjini
 
Msaada tiba kwa mwenye kuugua Corona

1. Chukua limao moja kubwa na kama ni dogo tumia limao mbili.

2. Kata kamulia kwenye kikombe mug cha chai na ondoa mbegu

3. Chukua nusu kijiko cha chai cha Bicarbonate of Soda weka kwenye hiyo juice ya limao. Itatoa povu acha litulie kwa dakika 2.

4. Weka maji moto yaliyochemka kwenye huo mchanganyiko jaza taratibu. Itafoka tena acha itulie na endelea kujaza maji moto mpaka kijae. Likibaki povu kidogo liengue kwa kutumia kijiko cha plastiki au mwiko. Usitumie kijiko cha chuma au kikombe cha chuma.

5. Matumizi ni mara 3 Kwa siku yaani saa 12 asubuhi, saa 8 mchana na saa 4 usiku Kwa siku 7.

6. Ukisha kunywa kata maganda ya limao ulilotumia weka kwenye hiyo mug weka maji Moto utaendelea kunywa mpaka itakapofika muda wa kunywa tena mchanganyiko huo.

*Angalizo: Kama una presha ya kupanda tumia robo kijiko au hata chini ya robo (nusu ya robo) na unaweza kunywa kila baada ya masaa 6 au 4 badala ya 8.
Mchanganyiko huu umesaidia sana watu wengi na kupata nafuu ndani ya muda mfupi.

Hata baada ya kupona kabisa unaweza kuendelea kutumia mchanganyiko huu hata mara mbili kila wiki insaidia sana kuweka damu katika alkalini na kirusi chochote hakiwezi kudumu kwenye damu yako.

Asanteni Sana na Neena ya Mungu ituponye. Hii ni Vita tusaidiane kuipiga.*
 
Msaada tiba kwa mwenye kuugua Corona

1. Chukua limao moja kubwa na kama ni dogo tumia limao mbili.

2. Kata kamulia kwenye kikombe mug cha chai na ondoa mbegu

3. Chukua nusu kijiko cha chai cha Bicarbonate of Soda weka kwenye hiyo juice ya limao. Itatoa povu acha litulie kwa dakika 2.

4. Weka maji moto yaliyochemka kwenye huo mchanganyiko jaza taratibu. Itafoka tena acha itulie na endelea kujaza maji moto mpaka kijae. Likibaki povu kidogo liengue kwa kutumia kijiko cha plastiki au mwiko. Usitumie kijiko cha chuma au kikombe cha chuma.

5. Matumizi ni mara 3 Kwa siku yaani saa 12 asubuhi, saa 8 mchana na saa 4 usiku Kwa siku 7.

6. Ukisha kunywa kata maganda ya limao ulilotumia weka kwenye hiyo mug weka maji Moto utaendelea kunywa mpaka itakapofika muda wa kunywa tena mchanganyiko huo.

*Angalizo: Kama una presha ya kupanda tumia robo kijiko au hata chini ya robo (nusu ya robo) na unaweza kunywa kila baada ya masaa 6 au 4 badala ya 8.
Mchanganyiko huu umesaidia sana watu wengi na kupata nafuu ndani ya muda mfupi.

Hata baada ya kupona kabisa unaweza kuendelea kutumia mchanganyiko huu hata mara mbili kila wiki insaidia sana kuweka damu katika alkalini na kirusi chochote hakiwezi kudumu kwenye damu yako.

Asanteni Sana na Neena ya Mungu ituponye. Hii ni Vita tusaidiane kuipiga.*
Shukrani Sana mkuu
 
Corona ipo na watu wanakufa, ivyo tuchukue tahadhari.

Chanjo ya johnson yasemekana imereta shida uko marekan, haifai haifai haifai.
 
Ilikua mwaka Jana kwenye wimbi la pili. Nilianza kujisikia homa yenye ganzi baada ya kutoka kwenye sherehe ya send off. Baadaye nikajisikia pua zimeziba mfano wa mafua makali.

Nikaenda pharmacy nikanunua termisatan nikijua ni malaria. Huku nikila malimau , tangawizi .

Strange enough hali ikazidi kua mbaya. Nikaanza kuishiwa nguvu. Wanao nizunguka wakanitengeneza mchanganyiko wa mjani nijifukize. Tatizo nilikua mbishi kwenda hospital.

Baaya ya kupiga nyungu nikaanza kukohoa damu. Nikawaomba jamaa zangu wanikimbize hospital.

Hospital oxygen saturation ikasoma 47% . nikaogopa sana. Nikawekwa kwenye oxygen for two weeks.

Covid ni hatari. Hata baada ya kutoka hospital. It took me a moth to Regain my strength. Namshukuru Mungu nilipona.
Complications nilizo experience.
1 . conjunctivitis
2.hemorrhoids
3. Vidonda kooni
4. Skin rashes
5. Complete loss of smell and taste
Namshukuru Mungu nilipona
 
Ilikua mwaka Jana kwenye wimbi la pili. Nilianza kujisikia homa yenye ganzi baada ya kutoka kwenye sherehe ya send off. Baadaye nikajisikia pua zimeziba mfano wa mafua makali.

Nikaenda pharmacy nikanunua termisatan nikijua ni malaria. Huku nikila malimau , tangawizi .

Strange enough hali ikazidi kua mbaya. Nikaanza kuishiwa nguvu. Wanao nizunguka wakanitengeneza mchanganyiko wa mjani nijifukize. Tatizo nilikua mbishi kwenda hospital.

Baaya ya kupiga nyungu nikaanza kukohoa damu. Nikawaomba jamaa zangu wanikimbize hospital.

Hospital oxygen saturation ikasoma 47% . nikaogopa sana. Nikawekwa kwenye oxygen for two weeks.

Covid ni hatari. Hata baada ya kutoka hospital. It took me a moth to Regain my strength. Namshukuru Mungu nilipona.
Complications nilizo experience.
1 . conjunctivitis
2.hemorrhoids
3. Vidonda kooni
4. Skin rashes
5. Complete loss of smell and taste
Namshukuru Mungu nilipona
Dalali lingine hili hapa..... Dalali la machanjo ya mabeberu!

Tatizo lako huwezi kuigiza. Mpaka unajua maana ya conjuctivitis na skin rashes... wow!!!!

Ungezuga hata hohehahe fulani! Au lingumbaru fulani lisilojua hayo mamisamiati magumu magumu!

Conjuctivitis and skin rashes [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dalali lingine hili hapa..... Dalali la machanjo ya mabeberu!

Tatizo lako huwezi kuigiza. Mpaka unajua maana ya conjuctivitis na skin rashes... wow!!!!

Ungezuga hata hohehahe fulani! Au lingumbaru fulani lisilojua hayo mamisamiati magumu magumu!

Conjuctivitis and skin rashes [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una shida gani mkuu?
 
iy
Msaada tiba kwa mwenye kuugua Corona

1. Chukua limao moja kubwa na kama ni dogo tumia limao mbili.

2. Kata kamulia kwenye kikombe mug cha chai na ondoa mbegu

3. Chukua nusu kijiko cha chai cha Bicarbonate of Soda weka kwenye hiyo juice ya limao. Itatoa povu acha litulie kwa dakika 2.

4. Weka maji moto yaliyochemka kwenye huo mchanganyiko jaza taratibu. Itafoka tena acha itulie na endelea kujaza maji moto mpaka kijae. Likibaki povu kidogo liengue kwa kutumia kijiko cha plastiki au mwiko. Usitumie kijiko cha chuma au kikombe cha chuma.

5. Matumizi ni mara 3 Kwa siku yaani saa 12 asubuhi, saa 8 mchana na saa 4 usiku Kwa siku 7.

6. Ukisha kunywa kata maganda ya limao ulilotumia weka kwenye hiyo mug weka maji Moto utaendelea kunywa mpaka itakapofika muda wa kunywa tena mchanganyiko huo.

*Angalizo: Kama una presha ya kupanda tumia robo kijiko au hata chini ya robo (nusu ya robo) na unaweza kunywa kila baada ya masaa 6 au 4 badala ya 8.
Mchanganyiko huu umesaidia sana watu wengi na kupata nafuu ndani ya muda mfupi.

Hata baada ya kupona kabisa unaweza kuendelea kutumia mchanganyiko huu hata mara mbili kila wiki insaidia sana kuweka damu katika alkalini na kirusi chochote hakiwezi kudumu kwenye damu yako.

Asanteni Sana na Neena ya Mungu ituponye. Hii ni Vita tusaidiane kuipiga.*
mkuu iyo bicorbonate soda ni ipo ktk mfumo wa solid au liquid na je inapatikana wapi maana siijui.
 
Ilikua mwaka Jana kwenye wimbi la pili. Nilianza kujisikia homa yenye ganzi baada ya kutoka kwenye sherehe ya send off. Baadaye nikajisikia pua zimeziba mfano wa mafua makali.

Nikaenda pharmacy nikanunua termisatan nikijua ni malaria. Huku nikila malimau , tangawizi .

Strange enough hali ikazidi kua mbaya. Nikaanza kuishiwa nguvu. Wanao nizunguka wakanitengeneza mchanganyiko wa mjani nijifukize. Tatizo nilikua mbishi kwenda hospital.

Baaya ya kupiga nyungu nikaanza kukohoa damu. Nikawaomba jamaa zangu wanikimbize hospital.

Hospital oxygen saturation ikasoma 47% . nikaogopa sana. Nikawekwa kwenye oxygen for two weeks.

Covid ni hatari. Hata baada ya kutoka hospital. It took me a moth to Regain my strength. Namshukuru Mungu nilipona.
Complications nilizo experience.
1 . conjunctivitis
2.hemorrhoids
3. Vidonda kooni
4. Skin rashes
5. Complete loss of smell and taste
Namshukuru Mungu nilipona
Dawa gani ulipewa nje ya oxygen?
 
Mimi wimbi la tatu lilinipa kash kash niliporejea kutoka kanda ya ziwa nikajisikia viungo kama vimelegea, nikakosa appetitle na uwezo wa kuhisi harufu na baadaye nikawa nakohoa na kutoa makohozi (productive cough), matibabu niliyotumia ni nyungu na sometimes dawa za paracetamol....sasa huwa najiuliza, inakuwaje nichanje wakati nimeshapata natural infection? Jambo ambalo nataka nielimishe watu ni kuwa asilimia kubwa sana ya watanzania hadi sasa wameshakuwa exposed kwa virusi vya korona, hivyo kuchanja ni useless, labda kama mabeberu watwambie hiyo chanjo ina kitu gani cha ziada hadi ichanjwe kwa watu ambao walishapata uambukizi?
 
Back
Top Bottom