Ushuhuda wangu kuhusu Single Mothers

SingleMaza mmoja alisikika akisema...."nataka huyu Mwanaume nimchune, anijengee nyumba, kisha niachane nae". Akaongeza kwà kusema ," sitaweza kumbembea Mimba, nitakua namdanganya tu,...kamwe siwezi kuzaa na Mume wa mtu".
 
You're the best, one in million na si hawa wengine wanao tu jumuisha na kutuona viumbe vya ajabu maana tunatembelea vichwa na makalio badala ya miguu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Hiyo kweli singo maza wengi wamelaaniwa wanato*** Sana Hadi huruma hawana heshima wachafu wa Matendo
Nivizuri Mwanamke akae na mmewe Hadi afe na akifa atafute namna aoloewe Maana michezo ya kula matako watu tumeanza kuona pitia singo maza
Duh! Chief huku mbali, hiyo laana umeitoa wapi tena. Tukosoane kwastaha ila kudharirishana sio vyema, huoni wanayopotia ni adhabu tosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una tahdharishwa kwamba:
Matumizi ya lugha ya unyanyapaa na unyanyasaji au lugha ya kibaguzi(racist language) umegundulika/yamegunduliwa katika uzi huu.

Baadhi ya wachangiaji katika uzi huu wamekuwa au wamekuwa na nia hasi dhidi ya jamii. Umeonywa. Shirikiana kwa uangalifu mkubwa
 
Thanks
 
Masingle maza wengi huachika kwasababu ya 1. uzinzi. 2. Tabia mbaya

98% afya zao huwa sio nzuri though kwà muonekano wa nje huwa hawajionyeshi.

90% huwa wanapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile

85% ni walevi
Unawavinjia heshima ndugu
 
Hili bomu unaloliandaa litakulipukia vyema tu na utaumia vibaya sana kama sio kufa.
 
Nasikitika uzi wangu wachangiaji wengi ni wanaume makapuku. Mindset ya mtu ya mtu ina nafasi kubwa sana kuelezea kipato hata kama hatujuani lakini kwa kusoma comment tu naweza kujua unahangaishwa na maisha kiasi gani. Watu wenye pesa hawana mda wa kutengeneza nazaria zisizo na maana hada kuzusha tena kwa kuweka na takwimu eti asilimia kazaa ni waathirika mara wanatoa matako sijui nini. All in all people with no money wana makasiriko sana na siwalaumu najua vichwa vyao vinawaza pesa na wanaamini bila pesa hupati mwanamke wa kukupenda so it is a tragedy kwa kweli.
 
Kapuku wa aina gani?

Kapuku Masikini? Au kapuku Chokoraa? [emoji23]

#Wewe si una Ndugu wa kukuuguza jombaa,...endelea kupiga vombo ,.....kula vyuma chaliii!!!
 
Kinacho nishangaza ni kwamba mtoa mada alikuwa ana bembea tu,si kwamba labda alimuoa na nyongeza ya mtoto,hapana. Sasa cha kuhudumia huyo mtoto nini 7bu?

Ndiyo maana mimi nikahoji,kwamba huyu jamaa hana watoto mpaka akasomeshe na trip za supermarket kwa mtoto wa mwanaume mwenzie?
 
ANATAFUTA laana huyo

1.Anaibeep mizimu ya ukoo wa huyo mtoto
2.Anacheza na damu za watu huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…