Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Sijui kwanini wenye ngoma wengi ni wazuri afu wamenona...***** hii kitu imekaa pabaya sana.Ila Pm tutakuja, acha kututishia ngoma
 
unasema tu mkuu unaweza kuta kwa hii ID mpya watu wameshaenda PM.
ni kweli najua wabongo tulivyo, na hata baada ya hili bandiko kuna mabaharia wataenda tu

m'bongo hata umwambie hii ni SUMU atakwambia "we muongo" unataka tu kuninyima

atafanya/atatumia kila mbinu aonje kama kweli sumu au sio sumu.
 
Nimesema hivyo kwenye uzi wangu, halafu wewe ni kati ya vijana ninaowafuatilia humu ndani.

Navutiwa na michango yako, na imani girlfrirnd/mke atakuwa anajivunia kuwa na wewe. Ningekuwa Tz ningekutafuta tuwe na mazungumzo private me and you
Priscallia ujue ntajitosa mimi jamani uwiiiiii
 
Nimesema hivyo kwenye uzi wangu, halafu wewe ni kati ya vijana ninaowafuatilia humu ndani.

Navutiwa na michango yako, na imani girlfrirnd/mke atakuwa anajivunia kuwa na wewe. Ningekuwa Tz ningekutafuta tuwe na mazungumzo private me and you
Priscallia ujue ntajitosa mimi jamani uwiiiiii
 
My god demiss umeniua
 
Hongera d, kweli wewe ni shujàa nimependa ujasiri wako
Vipi swala la kuoana na huyo mpenzio na madaktari wanasema inawezekana kupata watoto katika khali hiyo na wakawa salama
 
Umejichanganya, unasema huyo mwalimu wako ana upendo na anakujali!!! Ilikuwaje akakuambukiza h.i.v makusudi wakati angeweza tu kuendelea kujilia tunda kwa kondom huku akikukinga wewe akupendaye sana? Mxiuuuuuh
 
Kuna mawatu yatakuja kumsumbua Kipenzi Priscalia pm kwa hii hii picha, amini ninenacho Bosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…