Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Na wewe ushaliwa na wa JFLastly, kuna vijana baadhi nilikutana nao humu ndani they were good guys lakni niligundua wengi wao hawajali afya zao na wanaongozwa sana na sexual desire, maana unakuta mwanaume mko nae faragha baada ya mzunguko wa kwanza from nowhere anataka muende peku au katikati ya tendo anavua mpira kwa makusudi, wanajijua watakuwa mashahidi nilikuwa nawakatilia katukatu maana nilikuwa nawajali sana.
Duh....hapa sasa.....
Hapo "... nilikuwa nawajali Sana.."Lastly, kuna vijana baadhi nilikutana nao humu ndani they were good guys lakni niligundua wengi wao hawajali afya zao na wanaongozwa sana na sexual desire, maana unakuta mwanaume mko nae faragha baada ya mzunguko wa kwanza from nowhere anataka muende peku au katikati ya tendo anavua mpira kwa makusudi, wanajijua watakuwa mashahidi nilikuwa nawakatilia katukatu maana nilikuwa nawajali sana.
Duh....hapa sasa.....
Huyu jamaa yako nae kapiga Sana gemu za wa JF humu [emoji12]
Ilikuwaje hiyo kiongoziMe naona umefanya vizuri kuja na ID mpya.. Nakumbuka kuna matukio kama haya yalishawahi kutokea na palitokea mtafaruko ukapelekea watu kufichuliana identity zao.
Kama umeshakutana na baadhi ya watu humu jf ni vizuri kutosema hiyo id yako ya zamani ili kulinda privacy yako
Kuna dem alikuja kulalamika kwamba kuna mtu humu jamvini anasambaza ukimwi... Akatokea dem mwingine nayeye keshatambea na huyo mtu.. Sasa wakaanza kurushiana maneno.. Sasa sijui kilitokea nini adi wakaanza kurusha picha halisiIlikuwaje hiyo kiongozi
duuu hatari sana hiyo aisee, uzi umo bado humu niuchekiKuna dem alikuja kulalamika kwamba kuna mtu humu jamvini anasambaza ukimwi... Akatokea dem mwingine nayeye keshatambea na huyo mtu.. Sasa wakaanza kurushiana maneno.. Sasa sijui kilitokea nini adi wakaanza kurusha picha halisi
Acha ujinga dogo.
Demu niliyemla peku ni agata na mwingine ni mwalimu hayupo nchi za nje
Mzigua wangu lazima na wewe nikupige peku mchana kweupe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kichwa umekata juu lakini chini sura inaonekana.
Mzigua wangu lazima na wewe nikupige peku mchana kweupe
Ndio beb wangu. Wasalimie wifi zangu kwanza
Umeandika nin ukafuta?