Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Lastly, kuna vijana baadhi nilikutana nao humu ndani they were good guys lakni niligundua wengi wao hawajali afya zao na wanaongozwa sana na sexual desire, maana unakuta mwanaume mko nae faragha baada ya mzunguko wa kwanza from nowhere anataka muende peku au katikati ya tendo anavua mpira kwa makusudi, wanajijua watakuwa mashahidi nilikuwa nawakatilia katukatu maana nilikuwa nawajali sana.

Duh....hapa sasa.....
Na wewe ushaliwa na wa JF

Daaah mi nafeli wapi[emoji1787][emoji1787]

Kumbe watu wanakulana serious humu aisee [emoji44]
 
Lastly, kuna vijana baadhi nilikutana nao humu ndani they were good guys lakni niligundua wengi wao hawajali afya zao na wanaongozwa sana na sexual desire, maana unakuta mwanaume mko nae faragha baada ya mzunguko wa kwanza from nowhere anataka muende peku au katikati ya tendo anavua mpira kwa makusudi, wanajijua watakuwa mashahidi nilikuwa nawakatilia katukatu maana nilikuwa nawajali sana.

Duh....hapa sasa.....
Hapo "... nilikuwa nawajali Sana.."

Pamejitafakarisha Sana daah
 
Me naona umefanya vizuri kuja na ID mpya.. Nakumbuka kuna matukio kama haya yalishawahi kutokea na palitokea mtafaruko ukapelekea watu kufichuliana identity zao.

Kama umeshakutana na baadhi ya watu humu jf ni vizuri kutosema hiyo id yako ya zamani ili kulinda privacy yako
Ilikuwaje hiyo kiongozi
 
Sista nimekupenda bure.wewe siyo mbinafsi.Unaonekana kutopenda wengine yawapate yaliyokupata.ulichoeleza kitasaidia wengi sana.trust me ujumbe wako ni timely hasa kwa tunapolekea tarehe 1.December.
 
Ilikuwaje hiyo kiongozi
Kuna dem alikuja kulalamika kwamba kuna mtu humu jamvini anasambaza ukimwi... Akatokea dem mwingine nayeye keshatambea na huyo mtu.. Sasa wakaanza kurushiana maneno.. Sasa sijui kilitokea nini adi wakaanza kurusha picha halisi
 
Kuna dem alikuja kulalamika kwamba kuna mtu humu jamvini anasambaza ukimwi... Akatokea dem mwingine nayeye keshatambea na huyo mtu.. Sasa wakaanza kurushiana maneno.. Sasa sijui kilitokea nini adi wakaanza kurusha picha halisi
duuu hatari sana hiyo aisee, uzi umo bado humu niucheki
 
Ukiacha zinaaa unaepukana na mengi, cha msingi nii kubakia njia kuu, usiruhusu michepuko ikuchepue mwisho wake ndiye haya. Pole sana ila pengine ungejistiri mpk ndoa Leo hii usingekua apaa. Yote na yote shukrani kwa ukumbusho.
 
Vijana PIGENI NYETO narudia pigeni NYETO ... nguvu za kiume zikiisha kuna VIAGRA ... juice ya tende... karanga...nazi... maombi...HIV/AIDS KILLS
 
Back
Top Bottom