Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Sorry kama nimekukwaza mkuu
Samahani sikujua kama nyinyi ni watani,Hawachi namjua mimi hawezi kusumbua watu wakati nammudu[emoji13][emoji13]
Get a life men mambo madogo haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sorry kama nimekukwaza mkuu
Samahani sikujua kama nyinyi ni watani,Hawachi namjua mimi hawezi kusumbua watu wakati nammudu[emoji13][emoji13]
Get a life men mambo madogo haya
Muongo huyo sina utani nae hataSamahani sikujua kama nyinyi ni watani,
Inaonekana vyema kabisa.
Wewe tuambie ukweli bwana... Si useme unatupa tu funzo ... Lakini hujaathirikaView attachment 1275127
Leo nimeamini pombe ina nguvu na inamletea mtu kujiamini 😁😁😁Povu linawatoka watu
Mwisho wa siku unakuta mtoa mada ni njemba imekaa imetulia [emoji23][emoji23][emoji23]
Nitaacha kwa heshima yakoHii tabia ya u jasusi uache
Leo nimeamini pombe ina nguvu na inamletea mtu kujiamini [emoji16][emoji16][emoji16]
Ni mchawi huyo mvaa miwaniMiwani yake inampendeza sana
Mkuu yule profesa alikupa miwaya aise Pole SanaSorry sijakuelewa umemaanisha nini?
Ndio unamuonea wivuuu[emoji23][emoji23] eti filter[emoji23][emoji23]Yani nimuonee wivu mwanamke asiye wangu come on men [emoji45]
Huenda wewe hupigagi picha na kama unapiga huwa unapiga ili mradi umepiga.
Kwenye hiyo picha zimetumika filter.
Hahahahaha kavaa miwani mizuri
Sawa mamaUache
Bora umenitetea mpendwaDuh, mbona huyo member kauliza tu kistarabu .. Kwani kama ameathirika ndio asambaze?
Nitafurahi ukiridhia hili.Nitakufikiria na asante kwa maneno ya faraja pia