Mtili wandu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 8,257
- 11,499
Pole sana mamito, hongera kwa kujua hali yako. Wewe ni mwanamke wa nguvu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani wewe umeuliza mtu upo positive kabisa. Halafu uje upone. Hiyo ni never. Sasa hapa mbona umeexplain kutopata maambukizi?Ukishakuwa positive hutakaa upone sana sana ARV zitatuliza makali ya virus tu.nakushauri fuatilia kuhusu mada hii INNATE RESISTANCE TO HIV mkuu najua hii issue itawaumiza kichwa watu wengi na watabisha ningekuwa na direct way ya ku proove ningesha proove , na labda haukunielewa ila kinachotokea ni hichi mfano nika sex labda na hiv possitive sio kwamba sipati maambukizi hapana napata vizuri tu ila kutokana na seli hai zangu kukosa vipokezi wataalam huita receptor proteins kirusi huwa hakina uwezo wa kuingia ndani ya seli na kujigawa hivyo hubaki ndani ya damu tu na huondoka baada ya siku 110-120 kwa mujibu wa madaktari hivyo narudi kama mwanzo HIV NEGATIVE.
Hebu tujikumbushe kidogo..Hivi nyie Wanaume mpewe nini mridhike? Wanawake wenzangu kuna la kujifunza kwa hili tukio la Ebitoke
Yaani unakuta Mwanaume unampikia, unamfulia, unamuogesha na mapenzi unampa kama yote. Lakini sasa hizo dharau wanazotuletea hadi unatamani kulia. Ndio maana mimi mwenzenu natoka na Wanaume wanaojielewa sio hao wenye njaa njaa za hovyo kama hao wasanii wa huko nyumbani Tanzania. Like, serious...www.jamiiforums.com
Hizo picha za madame zimebandikwa wapi rafiki?Mimi siamini kwa zile picha Zako ngozi nyororo aisee
Dah! Mkuu!Ukamvulia Prof pichu mkapiga peku bila kujua status yake ya sexual transmitted diseases.
Ndo maana mimi nalilia kila siku tuwafundishe vijana wetu watumie condom wanapoanza form one. Tena unawaambia kila mtu ni HIV positive except wewe. Hivyo condom is a must.
Mimi haujanitomba bila condom aisee. Hata mimi nilitongonzwa na prof wala sikumkubalia.
Baada ya mwaka akaanza kuugua kumbe alikuwa na ngoma.
Kila sehemu kumeoza. Condom is a must hata kama mmepima,maana mtu kama prof anapiga wengi. Ukiona upo nae jua na wengine atatongonza.
Pole,ila na wewe ni moto,yaani umeshakutana na wakaka tena humu JF.Why wakaka ? Ina maana kila mnaekutana nae haufall in Love ?
Unaonekana wewe Kicheche,ndo maana ukatembea na Prof wako.
YOU GOT,WHAT YOU DESERVED.
Endelea kutumia ARV.
Usiingie mkenge Mkuu , ila km umewapa na humu hahahaha, wale vidume vya JF ,naona presha huko walikoMimi siamini kwa zile picha Zako ngozi nyororo aisee
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wee dada tafadhali sana tena sana, usije ukawa ni yule.
Huyu siyo jasiri. Kwanini afiche Utambulisho wake. Jasiri hafichi UtambulishoPole sana, na Hongera kwa ujasiri wa kusema hapa kwa ID mpya!
Mkuu kwani mdau kasema kipi kibaya hapo?Kwa hiyo wewe unajiona mzima hapo?[emoji45][emoji45] ama kweli nyani haoni kundule
Aisee ndio yeye kabisa![]()
Selfika na JF. Snap it. Show it
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya. Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na...www.jamiiforums.com
![]()
Dada mzuri kabisa alafu anasema ameathirika
Hahahaha, Mkuu vipi tena?Wee dada tafadhali sana tena sana, usije ukawa ni yule.
Hahahaha, Mkuu vipi tena?
Mie nilipewaga ubuyu wa memba Fulani hivi kuwa kaukwaa ,nikaona eeh ,ndio mambo haya