tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Naomba no nimliwaze mdada huyuWachawi hatuishi!
View attachment 1275153
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba no nimliwaze mdada huyuWachawi hatuishi!
View attachment 1275153
Ni Black sijui nini, ule uzi ulifutwa
Kama upo basi umefungwa....[emoji4] ungekuta wahuni wamesha ufufuaUpo aiseee ngoja nikiwa kwa PC nitautafuta
Black T
Hajanipata bebii...usiwe na hofu kabisa, ila kakali kama ni kenyewe kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Mmmh tutapona kweli?
hapo hawezi kuniambukiza mkuu, mpaka virusi vionekana kwenye damu ndo vinaweza kuambukizaUnampima leo, kumbe ameupata jana! Vaa tu ndomu mzee
Anytime my dear!!Let us make appointment arrangement ya blood test.
How're you?
Sipati picha mabaharia waliopita na wewe na wanaona huu uzi wako kwenye hali gani sasa
Vinaingia kwenye damu baada ya saa 72, naskia vile vidude vinaanza kudetect baada ya kuanzia week 3 hadi 4... Hii ikojehapo hawezi kuniambukiza mkuu, mpaka virusi vionekana kwenye damu ndo vinaweza kuambukiza
bana wanajifanya waoga lakini usiku wanapiga shoo za kibabe kama kawaidaahata sijui ini comment nini ila huu uzi umenifanya nipime leo
kumbe haya mambo yapo ee.View attachment 1275973