USHUHUDA: Watanzania tuwe wakweli juu ya ufugaji wa kuku

ndio zao hao mi nilishawishiwa kilimo kina lipa hasa cha muhogo kwa heka naweza uza kwa hasara milioni moja.....heeeeeh sasa naenda sokoni et heka laki mbili😡😡😡
 
Bata wanakufa kisa mvua??? Hata kuku nao msimu mvua ukianza wanakufa balaaaaa... So fuga kwa akili ukiona masika yanakujaa Uzaaa mzeee...
 
Bata wanakufa kisa mvua??? Hata kuku nao msimu mvua ukianza wanakufa balaaaaa... So fuga kwa akili ukiona masika yanakujaa Uzaaa mzeee...
Me nilimwelewa maana nina wa fuga alikuwa Ana walaza kwenye banda lenye maji kipindi cha mvua kwa mchana maji ya mvua kwao sio mabaya Ila kama banda lake lina ingiza maji na kama hawana umri mkubwa wana kufa!
Uzuri wa bata hana magonjwa kama kuku kuku ni hatari haswa ukiwafuga kwenye eneo dogo!
 
Duh! Umesema kweli! Bata wanakula unaweza kuogopa. Unawajazia chombo ndoo ya Lita 20 bata 30 kwa siku hawashibi! Wanakula na kunya hapo hapo na maji kibao kuloweka midomo yao! Acha kabisa!!
Hahahahaha hatari Sana Hawa viumbe wangu wamefika mia na kitu hawali wana saga kama machine ya mahindi Bora bukini hawali Sana kama hawa wa kawaida!
Ila usiogope kuwa fuga mkuu me nina penda bata sababu hana Mambo ya kupewa dawa kama kuku!
Hawa hawali Sana Ila siyo Ila hawa zaliani kama hawa wa kawaida!
 
Aah kumbe sasa nae alizingua..Alidhani ni samaki wale au???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi soko la bata lipo kweli???? maana duuh
 
Hiyo gharama uliyotaja .
Sawa kabisa. gharama ni kubwa mno.
Hata mimi kuku walikuwa wanakufa sana ila nimekuja kufahamu ukiwatibu vifaranga mapema kwa kinga hawafi, ingawa magonjwa yapo kwa kila mfugo yote. Mi natenganisha vifaranga na kinyesi chao kwa wiremesh. Nawapa joto kwa bulb. Mwezi sasa hakuna kifaranga aliyekufa.
Changamoto ninayopata ni sehenu ya kutagia wanagombania.

Nilichoona kinachowashinda wengi kuku wanataka kufuatiliwa na kuwajua. Mimi nikimwangalia kuku akitembea na ulaji wake na kinyesi naweza jua kuku mzima au mgonjwa.

Pili. Magonjwa ya virus kwenye kuku yanasumbua yanataka tiba mbadala za dukani mara nyingine hazifanyi kazi.
Kuku wanakufa lakini mara chache kuna paka na kenge n k nao wanataka kula kuku..

Kuku wanafugika, sasa kwasababu wengi mmekimbia kufuga, sisi ndio tunapata fursa nzuri ya kuoiga hela ndeeefu.
 
Mzee nikupe dume hao unipe jike mana hapa na jike moja dume mbili zinapanda hatari watamuua
 
Mkuu inategemea mwezi wa 9/2018 nimetumia laki 5 kujenga banda lenye ukubwa wa 3*5M
Nikanunua kuku 5 jogoo 1 na tetea 4 kwa 67,000
Nikanunua chakula nikachanganya mwenyewe pumba debe 7 mashudu,dagaa, chokaa, mifupa tolat 48,000
Chanjo ya kideri 7elfu!
Mpaka sasa nina vifaranga 43 wana mwezi sasa.ninewanyanganya mama yao Nategemea mwezi wa1 2018 wataanza kutaga tena!
Ukisikiliza wanaopinga wanadhani garama za ujenzi zipo costant nchi nzima!!
Kuna amabo wana access ya kupata mabanzi... Pia wapo wenye accesa ya kupata used playwood so inategemea.

Unaweza kuanza hata kwa laki 2 tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…