Morning_star
JF-Expert Member
- Apr 21, 2018
- 6,042
- 17,320
Duh! Umesema kweli! Bata wanakula unaweza kuogopa. Unawajazia chombo ndoo ya Lita 20 bata 30 kwa siku hawashibi! Wanakula na kunya hapo hapo na maji kibao kuloweka midomo yao! Acha kabisa!!Duh ukifuga Bata sindio uta changanyikiwa!
Maana wanakula kama wanakufa kesho!
ha ha ha ha aaa your not serious!!Duh ukifuga Bata sindio uta changanyikiwa!
Maana wanakula kama wanakufa kesho!
ndio zao hao mi nilishawishiwa kilimo kina lipa hasa cha muhogo kwa heka naweza uza kwa hasara milioni moja.....heeeeeh sasa naenda sokoni et heka laki mbili😡😡😡Tanzania kuna upotoshaji mkubwa sana, wengi wetu ni waongo waongo sana. Penye ukweli tunapindisha.
Ili ufuge kuku wa kienyeji, tena kwa banda la hali ya chini kabisa, ni lazima uwe na vitu vifuatavyo :-
(Kwa banda la mita 9 kwa mita 3)
1. Eneo la kutosha kwa ajili ya banda
2. Muda wa kutosha kuwahudumia kuku
3. Uwe na mtaji wa siyo chini ya Milioni 1.5 kwa ajili ya kujengea banda tu
Gharama ya fundi siyo chini ya laki 1.5 , mabati used siyo chini ya mabati 15 @ 8,000 TZS , matofali ya kuchoma 800 300 TZS, misumari ya bati 2 kg @ 5,000 TZS , Binding wire , bawaba , cement 12 bags , kufuli 1 @ 5,000 TZS , kitasa 1 @ 4,000, mbao ( 2 x 2 , 3 x 2 ) 800 Rft , mirunda 12 @ 5,000 TZS , Chicken mesh 1 Roller 80,000 TZS , Wavu mgumu 2 Rollers @ 12,000 , usafiri na mengineyo madogo madogo.
4. Uwe na walau laki 3 za kununua kuku wakubwa wanaokaribia kutaga
Ikumbukwe tu , kuku 1 ni kati ya TZS 10 - 15,000
Watanzania tuwe wakweli , tuache uongo na ushabiki wa vitu tusivyovijua kwa vitendo.
Bata hawali sana kuku ndio noma wanakula mafala hatariDuh ukifuga Bata sindio uta changanyikiwa!
Maana wanakula kama wanakufa kesho!
Bata wanakufa kisa mvua??? Hata kuku nao msimu mvua ukianza wanakufa balaaaaa... So fuga kwa akili ukiona masika yanakujaa Uzaaa mzeee...Hahaaaa nilipewa dili la kufuga bata nikajenga banda nikanzungushia eneo langu chicken wire nikanunua bata km kumi nikaanza kuwalisha ebhana wakafika 80 nia yangu wafike 100 niuze ikaja mvua ikapiga ile mbaya sikua najua mvua na bata hazipatani walikufa bata km hamsin kumbuka hao nilikua nanunua gunia la pumba kila wiki plus cost za ujenzi wa banda nikajikuta nimebaki na bata wadogo 18 na wakubwa 12 nilishikwa na hacra nikawagawa tu.Sasa hivi nafuga kuku wa kienyeji siwazingatii kivile ila naona wamekubali nao km 32.Ufugaji bila kujipanga ni hasara na tafuta mtaalamu sio hao waongo wa kwenye mitandao akufundishe kabla ya kuanza ufugaji.
Duh ukifuga Bata sindio uta changanyikiwa!
Maana wanakula kama wanakufa kesho!
Fuga ujioneye kwa macho! Acha kabisa Bata kama machine ya kusaga!ha ha ha ha aaa your not serious!!
Una fuga bata mkuu!?Bata hawali sana kuku ndio noma wanakula mafala hatari
Me nilimwelewa maana nina wa fuga alikuwa Ana walaza kwenye banda lenye maji kipindi cha mvua kwa mchana maji ya mvua kwao sio mabaya Ila kama banda lake lina ingiza maji na kama hawana umri mkubwa wana kufa!Bata wanakufa kisa mvua??? Hata kuku nao msimu mvua ukianza wanakufa balaaaaa... So fuga kwa akili ukiona masika yanakujaa Uzaaa mzeee...
Hahahahaha hatari Sana Hawa viumbe wangu wamefika mia na kitu hawali wana saga kama machine ya mahindi Bora bukini hawali Sana kama hawa wa kawaida!Duh! Umesema kweli! Bata wanakula unaweza kuogopa. Unawajazia chombo ndoo ya Lita 20 bata 30 kwa siku hawashibi! Wanakula na kunya hapo hapo na maji kibao kuloweka midomo yao! Acha kabisa!!
Aah kumbe sasa nae alizingua..Alidhani ni samaki wale au???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Me nilimwelewa maana nina wa fuga alikuwa Ana walaza kwenye banda lenye maji kipindi cha mvua kwa mchana maji ya mvua kwao sio mabaya Ila kama banda lake lina ingiza maji na kama hawana umri mkubwa wana kufa!
Uzuri wa bata hana magonjwa kama kuku kuku ni hatari haswa ukiwafuga kwenye eneo dogo!
Hivi soko la bata lipo kweli???? maana duuhHahahahaha hatari Sana Hawa viumbe wangu wamefika mia na kitu hawali wana saga kama machine ya mahindi Bora bukini hawali Sana kama hawa wa kawaida!
Ila usiogope kuwa fuga mkuu me nina penda bata sababu hana Mambo ya kupewa dawa kama kuku!View attachment 972929
Hawa hawali Sana Ila siyo Ila hawa zaliani kama hawa wa kawaida!
Sawa kabisa. gharama ni kubwa mno.Hiyo gharama uliyotaja .
Ndio wote na kukuUna fuga bata mkuu!?
Mzee nikupe dume hao unipe jike mana hapa na jike moja dume mbili zinapanda hatari watamuuaHahahahaha hatari Sana Hawa viumbe wangu wamefika mia na kitu hawali wana saga kama machine ya mahindi Bora bukini hawali Sana kama hawa wa kawaida!
Ila usiogope kuwa fuga mkuu me nina penda bata sababu hana Mambo ya kupewa dawa kama kuku!View attachment 972929
Hawa hawali Sana Ila siyo Ila hawa zaliani kama hawa wa kawaida!
Mkuu inategemea mwezi wa 9/2018 nimetumia laki 5 kujenga banda lenye ukubwa wa 3*5MGharama za ufugaji kuku kwa kiasi kikubwa zinategemea mazingira ya unapofugia hao kuku wako.....
Kikubwa wanachokosea hawa Wahamasishaji wa hii miradi ni pale wanapozirahisisha changamoto za ufugaji zionekane rahisi rahisi sana kuliko uhalisia...na hapo ndipo wanapowafelisha watu wengi....
Hahahaha kwenye bata gani mkuu hawa bukini?Mzee nikupe dume hao unipe jike mana hapa na jike moja dume mbili zinapanda hatari watamuua