USHUHUDA: Watanzania tuwe wakweli juu ya ufugaji wa kuku

USHUHUDA: Watanzania tuwe wakweli juu ya ufugaji wa kuku

Ila usi waogope mkuu watam Sana!
Hizi shughur za ufugaji huwa naona Ni kupoteza muda.

Nnachokiona kwa watu Wang wa karibu wanaofanya hizo shughur

Nawaona km wanasindikiza tu maisha yaende,

Hawapigi hatua yoyote, zaid ya manung'uniko ya kila siku HALI NGUMU
 
Mkuu sasa hivi Nina kula to mkuu nina subiri Adi mwezi wa 6 au 7 mwakani watakuwa washafika 200+ ndio niuze hapo mkuu ujuwe mimi nina ugonjwa kama wa wamasai wanavyo pendaga kuona ngombe me ninapenda sana kuwaona jamii zote za ndege!
Kuku tu bahati mbaya ndio walinishinda manana kidogo na Mimi ninge kuwa Dr maana kila week au baada ya week 3 lazima niende kwenye duka la dawa!
Kuku walifika 90+ nikala mkuu wengine nikauza wengine nika gawa!
Ndio nikaingia mkataba na bata hawajanipeleka hata kwenye Duka la dawa zaidi niliwahi mara moja kuwa nunulia vitamin vifaranga!
Wapo zaidi
Sawa lakini wakikua Huwa unauza sh Ngapi??
 
Hizi shughur za ufugaji huwa naona Ni kupoteza muda.

Nnachokiona kwa watu Wang wa karibu wanaofanya hizo shughur

Nawaona km wanasindikiza tu maisha yaende,

Hawapigi hatua yoyote, zaid ya manung'uniko ya kila siku HALI NGUMU
Ila mkuu tatizo linakuwaga Malengo!
Pia kufunga lina kwenda sambamba na upendo wa dhati kwa unacho kifuga!
Kama hupendi kwa moyo mmoja unachokifunga huwa hakilete manufaa pia isiwe ndio tegemeyo lako kwa muda mfupi!
Watu wengi hupenda matokeo bila kujitolea kwa unacho kifuga lazima ukipende kweli kweli vinginevyo matokeo huwa Mabaya!
Pia mwisho matumizi kuzidi kipato huvuki yani kama ni mbinguni huendi!
 
Mkuu unazungumzia ufugaji wa hobby au wa kibiashara?
Hiyo gharama uliyotaja ni ya juu sana na haiwafanyi watanzania kudhubutu. Niliposoma ile post ya kuku 6 kukupatia kuku 200 nilivutiwa sana. Uwezo wa hao kuku nilikuwa nao; hivyo nilipowanunua nilitumia Tshs. 48,000/= kununua kuku, 30,000/= kununua sehemu ya kuku kushinda, 10,000/ kifaa cha maji na Tshs. 4,500/= kununua kifaa cha chakula. Sehemu ya kulala nilikuwa nawalaza jikoni. Chakula nilikuwa nanunua kila wiki nachanganya mwenyewe pale nyumbani.
Walipoongezeka kufikia 50, ndo nilijenga banda dogo mita 3 x 4 kwa ajili ya kulaza wale kuku wasiohatamia.
Hivyo sikubaliani na mtoa mada kuwa unahitaji mil 1.5 kuanza - HAPANA. Hicho ni kiasi kukubwa sana; unataka kuwaogopesha watu wasijaribu kufuga eti kwa sababu hawana hiyo pesa.
 
Hahaaaa nilipewa dili la kufuga bata nikajenga banda nikanzungushia eneo langu chicken wire nikanunua bata km kumi nikaanza kuwalisha ebhana wakafika 80 nia yangu wafike 100 niuze ikaja mvua ikapiga ile mbaya sikua najua mvua na bata hazipatani walikufa bata km hamsin kumbuka hao nilikua nanunua gunia la pumba kila wiki plus cost za ujenzi wa banda nikajikuta nimebaki na bata wadogo 18 na wakubwa 12 nilishikwa na hacra nikawagawa tu.Sasa hivi nafuga kuku wa kienyeji siwazingatii kivile ila naona wamekubali nao km 32.Ufugaji bila kujipanga ni hasara na tafuta mtaalamu sio hao waongo wa kwenye mitandao akufundishe kabla ya kuanza ufugaji.
Mvua inaua vip bata? Maana bata wanapenda maji, ama?
 
Hiyo gharama uliyotaja ni ya juu sana na haiwafanyi watanzania kudhubutu. Niliposoma ile post ya kuku 6 kukupatia kuku 200 nilivutiwa sana. Uwezo wa hao kuku nilikuwa nao; hivyo nilipowanunua nilitumia Tshs. 48,000/= kununua kuku, 30,000/= kununua sehemu ya kuku kushinda, 10,000/ kifaa cha maji na Tshs. 4,500/= kununua kifaa cha chakula. Sehemu ya kulala nilikuwa nawalaza jikoni. Chakula nilikuwa nanunua kila wiki nachanganya mwenyewe pale nyumbani.
Walipoongezeka kufikia 50, ndo nilijenga banda dogo mita 3 x 4 kwa ajili ya kulaza wale kuku wasiohatamia.
Hivyo sikubaliani na mtoa mada kuwa unahitaji mil 1.5 kuanza - HAPANA. Hicho ni kiasi kukubwa sana; unataka kuwaogopesha watu wasijaribu kufuga eti kwa sababu hawana hiyo pesa.
Wewe unaishi kijijini,kuku wanalala jikoni¦¦¦¦¦ alafu kuku 50 siwanaaribu mazingira kama wanazurura watatifua mauwa ya jirani, bustan za mboga zilizopo kwa majirani na utakuwa ni mtu wa kugombana na maji ran daily... Kuku wa kienyeji awana faida kama tunavyoaminishwa kuku hadi afikishe miez mitano au Sita ndio anataga Tena mayai ayazidi 15.
 
Niliacha kufuga kuku nimehamia kwenye mbuzi, mikuku gharama kibao faida kiduchu...
Aisee ufugaji kuku mi biashara kichaa labda wenye mitaji mikubwa sio wa kuunga unga chakula na madawa, mi nataka nihamie kwenye ng'ombe wa maziwa nyama na mbuzi.
 
Kwa kuwa wafugaji wengi hawahitaji kujifunza ndo maana wanahangaika na chakula. Mimi natumia ngano, naotesha chakula (Hydroponics Fodder) - ambapo kilo mbili za ngano zinanipatia chakula kilo 14/16. Hizo ngano kilo moja naipata kwa gharama ya Tshs. 1,200 / 1,500. Hivyo suala la chakula kwangu sio shida; labda changamoto inakuja kwenye muda wa kuotesha - zoezi hili la kuotesha ni endelevu kama kupiga mswaki kila siku ila unapata chakula bora kwa gharama nafuu.
Kuhusu virutubisho natumia EM.1 ambayo lita moja inanipatia lita 20 za virutubisho ambavyo naweza kutumia mwaka mzima na kiasi kingine nikawauzia wafugaji majirani wanaoona umuhimu wa hivyo virutubisho.
Kwa ujumla nimekuwa mfugaji kwa muda mrefu hadi nimeona kuwa kufuga ni namna unavyoji-tune kufanya hiyo kazi.
Em 1 unachanganya kwenye chakula?
 
Wewe unaishi kijijini,kuku wanalala jikoni¦¦¦¦¦ alafu kuku 50 siwanaaribu mazingira kama wanazurura watatifua mauwa ya jirani, bustan za mboga zilizopo kwa majirani na utakuwa ni mtu wa kugombana na maji ran daily... Kuku wa kienyeji awana faida kama tunavyoaminishwa kuku hadi afikishe miez mitano au Sita ndio anataga Tena mayai ayazidi 15.
Acha uongo wewe
 
Siku utakayoacha uwoga ndio siku utayoona faida kwenye mradi unaoufanya,hakuna biashara isiyo na changamoto,jifunze kwa kina uyapate maarifa ya kutosha juu ya mradi unaotaka kuufanya,usifanye haraka kwa kua fulani anafanya amepata faida au ulisoma mtandaoni kuwa biashara fulani inalipa ukashawishika...cool down
Kubali kuzipokea changamoto within the process,maisha ya biashara sio horizontal,ila pia wakati unafikiri kusitisha mradi fikiria kwann ulianza?
Mwisho tambua "huwezi kwenda peponi bila kufa"
Sheikh 23
 
Siku hizi kila mtu anataka awe mfugaji aachane na ajira baada yakupewa nadharia yakufanya awe tajiri kwa kufuga kama ni kitu rahisi.
 
Back
Top Bottom