SOKO LA MAGARI
Senior Member
- Oct 26, 2014
- 115
- 66
USHURU MAEGESHO + TRAFFIC PENALTY JIJINI DAR VIMEKUWA KERO KUBWA SANA
Tunaomba wizara husika ziangalie upya hizi taratibu
1. Gari moja inaweza kuta ina madeni ya miaka hadi 3.
2. Kiwango ni kukubwa mno, madeni yasiolipika.
3. Inaturudisha kwenye tatizo la zamani la Motor Vehicle license kulimbikizana na kutokulipika hadi mamillioni.
Serikali itafakari upya huu ni mzigo mkubwa sana kwa wamiliki wa wananchi.
Tunaomba wizara husika ziangalie upya hizi taratibu
1. Gari moja inaweza kuta ina madeni ya miaka hadi 3.
2. Kiwango ni kukubwa mno, madeni yasiolipika.
3. Inaturudisha kwenye tatizo la zamani la Motor Vehicle license kulimbikizana na kutokulipika hadi mamillioni.
Serikali itafakari upya huu ni mzigo mkubwa sana kwa wamiliki wa wananchi.