NguoYaSikuKuu
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 681
- 1,020
Umenivamia mimi mleta thread kama vile nimeandika my life story.Katika haya maandiko mtofautishe mahawara na wake, kabla hujaoa au kumtolea mahari huyo Sio mke wako; mwache aliwe!
Wengine wanaenda mbali wanaku geuzia kibao. Kuwa ww ndio umesababisha.Wanafanya ushenzi wakijua ukiona wanalia utawahurumia
Its always drama . Machoz ya mambaKuna mmoja tulikosana akanitumia voice note WhatsApp analia huku akiomba msamaha. Machozi yao wengi sio ya kweli drama tupu
Ndo mana unazeekea home unapelekewa moto tuKheeee!! Hivi kumbe kuna wanawake bado wanaliaga kutafuta attention ya kusamehewa kwa kweli kama wapo wanatakiwa wauliwe walah.. sasa hvi ni show show tutalilia baba zetu only
Hizo ni take away.. Ukishatumia unatupaKama umemkamata mwanamke wako ana mapichapicha akaanza kutoa chozi na kulia isiwe kigezo cha kusamehe. Mwanamke hata akitoa machozi jaba zima ni namna yao ya kuku"fool mwanaume umuonee huruma kwa utopolo wake.
"Oooh nilimkamata na nanii akaanza kulia sana ikabidi nimshamehe" ukaanza kusema " Unajua nini itakuwa demu ananipenda sana"
Hapo umeumia mkuu. Kabla ya kusamehe hakikisha umejihidhirisha na ukaamua mwenyewe sio machozi yake.
Thank me later
Ni suala la muda tu...huna muda mrefu kweny hayo mahusianoHamtuwezi nyie[emoji23][emoji23].
Jana tu nimetoka kutishia kunywa sumu nikasamehewa. Na leo kila saa napigiwa simu kuhakikisha nakuwa sawa nisije nikanywa sumu.
sawa mkuuKama umemkamata mwanamke wako ana mapichapicha akaanza kutoa chozi na kulia isiwe kigezo cha kusamehe. Mwanamke hata akitoa machozi jaba zima ni namna yao ya kuku"fool mwanaume umuonee huruma kwa utopolo wake.
"Oooh nilimkamata na nanii akaanza kulia sana ikabidi nimshamehe" ukaanza kusema " Unajua nini itakuwa demu ananipenda sana"
Hapo umeumia mkuu. Kabla ya kusamehe hakikisha umejihidhirisha na ukaamua mwenyewe sio machozi yake.
Thanks me later
Hivi kuna mwanaume ana kaza mwanamke akilia yaani hatoi msamahaHamtuwezi nyie[emoji23][emoji23].
Jana tu nimetoka kutishia kunywa sumu nikasamehewa. Na leo kila saa napigiwa simu kuhakikisha nakuwa sawa nisije nikanywa sumu.