Usiamini chozi la Mwanamke kamwe. Fanya maamuzi kwa akili yako

Usiamini chozi la Mwanamke kamwe. Fanya maamuzi kwa akili yako

Hehehehehe kumbe imepenyaaa tafuta hela blooo tunawalilia wenye pesa tu period sasa njoo kaa huku uone cha moto utapigwa matukio maji utaita mma tafuta ela acha kelele
Wape hi hapo kidimbwi.

Mwanamke kama ww ni ndoo ya uchafu utakojolewa mpaka puani.
 
Kuna mmoja tulikosana akanitumia voice note WhatsApp analia huku akiomba msamaha. Machozi yao wengi sio ya kweli drama tupu
[emoji23][emoji23][emoji23] kulia ni kukosa self control, uyo anaejirekodi anaigiza
 
Ni suala la muda tu...huna muda mrefu kweny hayo mahusiano
Ni kweli, maana mi alitishia nikampoza baadae mawazo yakaja huyu anataka kujiua means hana future na maisha ya wanetu maana kama wapo wanaokutegemea huwez waza kujiua
 
Ila kuliliwa raha kinoma.

"Jamani Darmian usiniache,i can't imagine life without you,please please."..ng'eng'enge'nge'[emoji25][emoji25][emoji25]."
 
Ahaaa!!,Sawa, Kumbe Mimi nilivyokusamehe umeniona mjinga?,Sasa kwa taarifa yako naenda kukununulia sumu inayoua vizuri na haraka Ili unywe tu,km ni mwanamke nitatafuta mwingine, maana mpo wengi Mbona.Nimeshajua jeuri yako.
Hauwezi kunifanyia hivo. Wanawake wapo wengi lakini mimi ndio ule ubavu wako.
 
Hauwezi kunifanyia hivo. Wanawake wapo wengi lakini mimi ndio ule ubavu wako.
Ubavu gani una maneno yanayoumiza Moyo? Maisha yatupe presha, Serikali itupe presha, tunasema basi ngoja tuoe ili Wanawake muwe mnatupa faraja lkn wapi ndo mnatupa presha zaidi.
 
Hamtuwezi nyie[emoji23][emoji23].
Jana tu nimetoka kutishia kunywa sumu nikasamehewa. Na leo kila saa napigiwa simu kuhakikisha nakuwa sawa nisije nikanywa sumu.
Mpumbavu sana huyo uliyenae.
 
Ubavu gani una maneno yanayoumiza Moyo??, Maisha yatupe presha, Serikali itupe presha, tunasema basi ngoja tuoe ili Wanawake muwe mnatupa faraja lkn wapi ndo mnatupa presha zaidi.
Basi nisamehe.
 
Yan mwenzio kiliooo tu cha voice note ananiamini, sembuse cha live live michozi buji bujiiiiii....

Hujakutana na mimi....
 
Back
Top Bottom