Kwa akili yako hiyo hutakaa uweze kuishi na mwanaume maisha yako yote. Bali utakua unapekewa moto tuu mpaka utakapo zeekaKheeee!! Hivi kumbe kuna wanawake bado wanaliaga kutafuta attention ya kusamehewa kwa kweli kama wapo wanatakiwa wauliwe walah.. sasa hvi ni show show tutalilia baba zetu only
Kuna mwenzako anaandaliwa, akikaa fresh wewe unatupwa mbali sana... hakika ya weke kichwani maneno hayaHamtuwezi nyie[emoji23][emoji23].
Jana tu nimetoka kutishia kunywa sumu nikasamehewa. Na leo kila saa napigiwa simu kuhakikisha nakuwa sawa nisije nikanywa sumu.
Wape hi hapo kidimbwi.
Mwanamke kama ww ni ndoo ya uchafu utakojolewa mpaka puani.
Kwa akili yako hiyo hutakaa uweze kuishi na mwanaume maisha yako yote. Bali utakua unapekewa moto tuu mpaka utakapo zeeka
Eeeeh, watu na fani zao utawaambia nini!?Hamtuwezi nyie[emoji23][emoji23].
Jana tu nimetoka kutishia kunywa sumu nikasamehewa. Na leo kila saa napigiwa simu kuhakikisha nakuwa sawa nisije nikanywa sumu.
Tupo, tena sio wachache. Na hatuna bifu tukimaliza ndio tumemaliza hivyo, tunakuchukulia kama mtu tunaejuna au rafiki wakawaida lakini ukurasa uleee ndio ushafungwa milele!!.Hivi kuna mwanaume ana kaza mwanamke akilia yaani hatoi msamaha
Tupo, tena sio wachache. Na hatuna bifu tukimaliza ndio tumemaliza hivyo, tunakuchukulia kama mtu tunaejuana au rafiki wakawaida lakini ukurasa uleee ndio ushafungwa milele!!.Hivi kuna mwanaume ana kaza mwanamke akilia yaani hatoi msamaha
Haya nimekusamehe, usirudie tena mchezo huo.Usinitukanie my wangu.
Kama umemkamata mwanamke wako ana mapichapicha akaanza kutoa chozi na kulia isiwe kigezo cha kusamehe.
Mwanamke hata akitoa machozi jaba zima ni namna yao ya kuku"fool mwanaume umuonee huruma kwa utopolo wake.
"Oooh nilimkamata na nanii akaanza kulia sana ikabidi nimsamehe" ukaanza kusema " Unajua nini itakuwa demu ananipenda sana"
Hapo umeumia mkuu. Kabla ya kusamehe hakikisha umejihidhirisha na ukaamua mwenyewe sio machozi yake.
Thanks me later
maamuz ya kiume
Binafsi ningekununulia sumu unywe tu useme unataka DTT au sumu ya panya..Hamtuwezi nyie[emoji23][emoji23].
Jana tu nimetoka kutishia kunywa sumu nikasamehewa. Na leo kila saa napigiwa simu kuhakikisha nakuwa sawa nisije nikanywa sumu.