Usiamini kila unachokiona mtandaoni, Zamaradi hajanunuliwa gari na Mume wake

Zama kwa drama n master class. Yeye hua anaziandaa kwa akili kubwa sna tofauti na bwanyenye wengine
Kwa hilo namkubali. Hila huyu mme kamfichia maumivu mengi aliyopewa na Ruge. Ruge katumia weeeee alaf katema kachukua Nandy. Hiki kitu kimemkaa moyoni sana ndio maana anatumia drama nyingi sana kumweka mume wake ambaye hajulikani mjini kuwa juu.
 
Kwa hilo namkubali. Hila huyu mme kamfichia maumivu mengi aliyopewa na Ruge. Ruge katumia weeeee alaf katema kachukua Nandy. Hiki kitu kimemkaa moyoni sana ndio maana anatumia drama nyingi sana kumweka mume wake ambaye hajulikani mjini kuwa juu.
Nakubali kabsa
 
Mjinga ndo angeamini yule mishen town kununua the so called range. Kizuri watu walijuwa hilo na kumchana pale pale kwenye pg yake
 
Labda kama anajihusisha na kazi ya kufanya upunda?!

Hata hivyo upunda haunaga hela nyingi za kununua range inavyosemekana!
 
Kinachoniacha hoi ni kuwa wanaume ndo wanaongoza kumsema na kumdiss zama, uwiiiiioh

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio, kwa sababu anafanya wenzake watuone mafala
 
Nahisi tatizo kadanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…