Usiamini unamjua mtu kupitia mtandaoni kama haujawahi kukutana naye uso kwa uso

Unataka kutuambiaje sie ambao kwa namna moja au nyingine tunakula tam za mitandaoni, tunadatishwa na comments, ucheshi then tunatengeneza taswira zetu. Kinachofata sasa ni kuonana machinjioni na kuwekana. Its so simple.
 
Nakumbuka kuna grp moja la whatsapp huku na huku kuna Kidada kikaanza kuniletea dharau sana.. mie nikamwambia tu kuna siku isiyo na jina tutakutana..

Akacheeka sana na maneno ya shombo.. basi ikaisha hivyo.

Yule Mtu, nafkiri mpk anazama chini ya hii ardhi hatokuja kudharau hata kichaa aliye jalalani.

nifupishe tu story kwa kumaliza hivi.

Usimdharau mtu usiyemjua/Mfahamu.
Hata kama unamjua/kumfahamu usimdharau pia. Utakuja kushangaa na kujiona fala sana.
 
Palina kumbe ww ni wa kufikirika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…