Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma kwanza uzi ueleweUnaniitia fursa au kufanywa fursa😂😂
Unaniadhibu kijana wanguSoma kwanza uzi uelewe
Huyo black america yuko na dhambi ...Huyo black america yuko na dhambi ...
Eheeh! Baada ya chenga nyingi ikawaje rafiki...???
Hiyo My hope pro si mwishowe itagandiana jmnJamani nimeshindwa hata kusoma maana duh
Bibie siyo kumjua ni kumfahamu
Kiswahili hiki aiseeee
Sent from my Hope10 Pro using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kilichokukuta au ni rai tu kwa wadau?
SanaaMoyo unatuendeshaga tu. Ila ukipembua vizuri wapo watu. Kuna marafiki, washkaji na wapenzi humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka balaa,Hajui tuu. Nilishawahi kudatishwa na muandiko wa member huku halafu hatukuwahi hata kuwasiliana zaidi ya PM hivyo hadi leo sifahamu anafananaje ila muandiko wake ulikua unanifanya napata butterflies tumboni nikisoma [emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3]
Nini kilitokea mkuuNakumbuka kuna grp moja la whatsapp huku na huku kuna Kidada kikaanza kuniletea dharau sana.. mie nikamwambia tu kuna siku isiyo na jina tutakutana..
Akacheeka sana na maneno ya shombo.. basi ikaisha hivyo.
Yule Mtu, nafkiri mpk anazama chini ya hii ardhi hatokuja kudharau hata kichaa aliye jalalani.
nifupishe tu story kwa kumaliza hivi.
Usimdharau mtu usiyemjua/Mfahamu.
Hata kama unamjua/kumfahamu usimdharau pia. Utakuja kushangaa na kujiona fala sana.
Story ndefu kdg.Nini kilitokea mkuu
Leejay49 baby uje na huku upitie pitie usipitweMitandaoni kila kitu ni feki. Mtu mwenye nia ya kutokujulikana hawezi kutoa taarifa zake za kweli. Kila kitu lazima aki twist ili ushindwe ku connect dots. Yeye anabadilika kutokana na upepo unavyoenda.
Nkuu elezea acha kutupanga watu tumekaa attention kukusukiliza alafu unatupangua ndio nini? Funguka nini kilitokeaStory ndefu kdg.
Ili mseme ni CHAI ?..Nkuu elezea acha kutupanga watu tumekaa attention kukusukiliza alafu unatupangua ndio nini? Funguka nini kilitokea
Sina hio tabia naheshimu maandishi ya watu, sijawahi kusema chai sijui kahawaIli mseme ni CHAI ?..
Niacheni tu.
Sema usiogope kama ni CHAI tutajua tu😂😂Ili mseme ni CHAI ?..
Niacheni tu.