Usianzishe biashara wala kutafuta kazi kupitia waganga wa kienyeji

Huu Uzi ndio Bora kwangu ,,,Kaka amenasa Sana ktk kuwaamini hao walozi ...huwa napishana nae Sana..ukijizoesha ushirikina aisee kuchomoka Ni ngumu
 
Brother umekuwa mwokovu?
 
Duh! ..
 
The end.
 
Ndio mkuu nakikaribisha nawe uje nuruni
Asante sana brother, kayahubirie mataifa yapate kumjua bwana.
Lakini kama itakupendeza na unahisi haiwezi kuwa tatizo kwako ningendekeza uweke thread mpya utufungue akili wengine maana tunasikia tu kwenye masimulizi kwamba most of world famous people wanaongozwa na msukumo wa nguvu kubwa ya ziada kufika pale walipo sasa, natamani nami siku niwe entertainer au influencer mkubwa ulimwenguni lakini nikifikiria issue ya supernatural power na hayo MA-voodoo, witchcraft nk najikuta narudi nyuma hatua kadhaa.
 
Nimeshaandika sana hapa na nadhani 90% ya mada zangu zinahusu ulimwengu wa giza ila haikuwa rahisi maana upinzani niluokutana nao si wa kitoto.. Lakini nilisonga mbele bila hofu kwakuwa nilikuwa nafahamu nafanya nini

Kuna ID mpya (multiple) ziliibuka kila nilipoweka uzi mpya![emoji23] lakini tayari nilikuwa nimeshatengeneza mfumo na mtandao wa siri kuzing'amua
Nakupa moyo utimize ndoto zako lakini ni lazima uji equip na maarifa ya kutosha, hekima uvumilivu na staha maana utakutana na upinzani mkubwa mno
 
Sawa mkuu, wacha sasa nianze kuzipitia nyuzi zako moja baada ya moja
 
Wew Mkuu barikiwa sna leo nakupa credit Mimi nimfatiliaji Mzuri WA mada zako Ila sio mchangiaji

Nimejifunza Mengi sna kupitia wew hasa haya Mambo ya uchawi, maji ya Baraka ect

God bless you.
Jifunze zaidi kupitia mikasa ya waliokuwa huko then wakaacha hayana faida.
 
Lengo kuu la ushirikina ni kupunguza uwezo wa kufikiri wa mwanadamu aache kutumia akili zake alizopewa na Mwenyezi Mungu na atumie akili bandia yaani masharti na maagizo ya mganga Ili atatue shida zake. Yule mwenye mkoa wake na boss wake waliamini akili bandia thus walifanya upumbavu ule wote kwa mtu mwenye akili halisi asingeweza fanya upumbavu ule.
 
Hapakuna kitu umeongea hususani hapo kwenye mateka Nisha prove kwa mtu aliepandisha mashetani
 
Hapakuna kitu umeongea hususani hapo kwenye mateka Nisha prove kwa mtu aliepandisha mashetani
Haya mambo yapo kabisa.. Ila kama hujayashuhudia utaona nj hadithi tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…