Usianzishe mahusiano na wanaume hawa utapata tabby!

Usianzishe mahusiano na wanaume hawa utapata tabby!

Kuna baadhi ya kazi wanazofanya wanaume zinawapelekea kuharibika kisaikolojia hasa mambo ya mapenzi wanakuwa kama machizi.

1.ASKARI MAGEREZA NA FD4CE
-Matapeli Wa mapenzi
-Waongoo
-Wabahili
-Wana madeni balaa
-Wanapenda kuikopa serikali balaa
-Wanapenda maisha mazuri alafu mshahara wenyewe kiduchu
-Hawakubali kusema wanaishi kota wanachagua maeneo ya matajiri mfano Hapa Dodoma anakaa Isanga atakwambia anakaa uzunguni[emoji57][emoji57][emoji57]

2.WALIMU WA KIUME
-Wana ahadi za uongo
-Wabahili kama nini?
-Wana ndoto za maishaa mazuri hawatimizi ndoto zaoo mxewww
-Wanapenda sifaa

3.WANAUME WENYE UPARA NA MACHO MAKUBWA
-Ukitaka kufanya diet bila shida na kupungua uzito wewe mwanamke date na hizi kunguni kooooh utakonda na kupungua kula
-wanapenda kuhongwaa hawa [emoji57][emoji57][emoji57]
-Wanaringaaa mxewww zaoo
-Wengi viben10
-Wanapenda kufanya kazi Bank


Mama kalumanzila.
Utapata mwanamme mwingine mkuu usijali, ila ukishaachwa tena utuletee uzoefu mwingine.
 
Ila @demis leo umeniangusha sana kwa huu uzi wako, nimekata tamaa na wewe japo nilikua nataka nije kuleta posa.
 
Namba tatu mpaka nimecheka kwa sauti jamani [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Demiss katika ubora wako
 
Umenikumbusha kipindi hicho chuo kuna dada alikuwa hapendi wanaume wanaosomea ualimu na anaongea maneno mengi ya kashfa kuwahusu..bahati mbaya ama nzuri alikuja pewa mimba na jamaa anayesomea ualimu
Akampeleka wapi sasa na chalk zake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sidhan kama Kaka yetu Alkaeli hiki kikombe kitamuepuka, nikirejea pointi namba tatu mathalani kipengele cha macho makubwa.!
 
Pharmacist sijawaona hapo ,wazee wa kijiover dose
 
Ukikutana na mwanaume mwenye kila sifa unayoitaka KIMBIA, hapo si mahali salama kwako
 
Maisha haya mkuu acha tu..mwisho wa cku tulimaliza chuo mdada akiwa na katoto kachanga,nasikia jamaa lilikuja mtelekeza
Duu masikini weee mambo haya ya kusema sema hovyo wakati bado hujaoa wala kuolewa, kuna mkaka alikuwa anasema hawezi oa police wala nurse lakini ninavyo ongea kaoa nurse na wana mtoto 1, nikamkumbusha vipi nurse kaishia kucheka cheka tu ohoo maisha haya acha tu
 
Back
Top Bottom