Usianzishe mahusiano na wanaume hawa utapata tabby!

Kwann nisiende mbinguni
Nilipoona oparesheni ya hekaheka vijiweni, nilikaza macho sana nione kama nawe umenaswa na Muroto ukifanya majaribio yako kwa me mbalimbali
 
pia wanawake msidate na kina karumanzila.. maana wao watawawekea zindiko kwenye vimbufta vyenu.. tushindwe kuvila..
 
Kweli kabisa alafu msichana mwenyewe alikuwa bonge la sista duu but mwisho wa cku ndo akazalishwa na mtu ambae alikuwa anadai sio kundi la level zake
 
Wakati mwingine ni vyema ku declare interest kuwa wewe binafsi una bahati mbaya kama sio mkosi au laana ya kudate na baadhi ya hao wanaume wenye career hizo! Usi generalise. Wapo wenzako ambao wameolewa na hao hao wanaume na wanafurahia Ndoa zao mpaka unaweza kuwaonea wivu
 
Wote hao ulishapita nao ukayapata hayo,
Pole
 
asante kwa ushiriki ulijuaje
 
4.WAPIGA RAMLI NA WAGANGA

-Hawa wana gubu balaa

-Kunako 6x6 uwa wanapaka vumbi la akina Kofi Olomide na Viagra juu ugegedaji wao utadhani wanaikomoa K vile

-Ni wambea na wachoganishi balaaa

-Wanapenda kufuatilia mambo ya majiran na kwenda kuyatangaza huko JamiiForums

-Mkewe akigegedwa tu na mtu wanatishia kumtupia jini aliyemgegeda mke wake

mfano mzuri ni Mshana Jr
 
Nachojua hearly ana macho makubwa halafu ni mwalimu wa sekondari jangwani!.. Lakini vitoto vya UDSM pale anavidanganya yupo lile jengo la blue ukipita mawasiliano!.. Mengine aje sema mwenyewe tu!.

Mjumbe hauwawi!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…