Usianzishe mahusiano na wanaume hawa utapata tabby!

Nachojua hearly ana macho makubwa halafu ni mwalimu wa sekondari jangwani!.. Lakini vitoto vya UDSM pale anavidanganya yupo lile jengo la blue ukipita mawasiliano!.. Mengine aje sema mwenyewe tu!.

Mjumbe hauwawi!.
kwahiyo katibu ndio umeamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi "... ? umeamua kuuza ramani yangu ya vita kabisa yaani .. Mbona mimi siku mwambia dada yangu kuwa wewe ni muongo " pindi ulipo mdanganya kuwa Jiwe ni baba yako mkubwa
 
Kweli kabisa alafu msichana mwenyewe alikuwa bonge la sista duu but mwisho wa cku ndo akazalishwa na mtu ambae alikuwa anadai sio kundi la level zake
Bora ukae nalo moyoni kuliko kulitoa na Mungu naye asivyo na hiyana anakurushia huyo huyo
 
kwahiyo katibu ndio umeamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi "... ? umeamua kuuza ramani yangu ya vita kabisa yaani .. Mbona mimi siku mwambia dada yangu kuwa wewe ni muongo " pindi ulipo mdanganya kuwa Jiwe ni baba yako mkubwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie napita tu
 

Mbona hujatutaja na sie wa JF? Naamini una uzoefu mkubwa na sisi.
 
kwahiyo katibu ndio umeamua kumwaga mchele kwenye kuku wengi "... ? umeamua kuuza ramani yangu ya vita kabisa yaani .. Mbona mimi siku mwambia dada yangu kuwa wewe ni muongo " pindi ulipo mdanganya kuwa Jiwe ni baba yako mkubwa
😳 basi yaishe!.. ulimi ulizidi domo πŸ˜€πŸ˜€
 
Ndiyo maana yake kila anayepita lazima uulize yule nani katoka nyumba ipi
ana sura chachu kama vile katafuna mbegu ya limao... miguu yake kama vile ana kimbia mchaka mchaka
 
Daaaaah hyo namba 3[emoji38] [emoji38] [emoji38] upara na macho makubwa. Mungu anakuona aisee
 
mtoa maada knows nothing about men



wanaume tulowengi tunaangali kubonda chini hivo hizo tabia zingine zinakuja kuhakikisha lengo linatimia




siwez date na mtoa mada since juzijuzi kawekewa uzi wa kukesha humu jf....na alipewa option kama 8 aseme ip kat ya hizo inamfanya kukesha humu


mtoa mada huu uzi unaonesha the way ana stress sijui ile thread imemuwehusha





inaonesha bikra yake alimzawadia kat yao hao ndo mana anajua tabia zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…