Usianzishe mahusiano na wanaume hawa utapata tabby!

Usianzishe mahusiano na wanaume hawa utapata tabby!

Kuna baadhi ya kazi wanazofanya wanaume zinawapelekea kuharibika kisaikolojia hasa mambo ya mapenzi wanakuwa kama machizi.

1.ASKARI MAGEREZA NA FD4CE
-Matapeli Wa mapenzi
-Waongoo
-Wabahili
-Wana madeni balaa
-Wanapenda kuikopa serikali balaa
-Wanapenda maisha mazuri alafu mshahara wenyewe kiduchu
-Hawakubali kusema wanaishi kota wanachagua maeneo ya matajiri mfano Hapa Dodoma anakaa Isanga atakwambia anakaa uzunguni[emoji57][emoji57][emoji57]

2.WALIMU WA KIUME
-Wana ahadi za uongo
-Wabahili kama nini?
-Wana ndoto za maishaa mazuri hawatimizi ndoto zaoo mxewww
-Wanapenda sifaa

3.WANAUME WENYE UPARA NA MACHO MAKUBWA
-Ukitaka kufanya diet bila shida na kupungua uzito wewe mwanamke date na hizi kunguni kooooh utakonda na kupungua kula
-wanapenda kuhongwaa hawa [emoji57][emoji57][emoji57]
-Wanaringaaa mxewww zaoo
-Wengi viben10
-Wanapenda kufanya kazi Bank


Mama kalumanzila.
Mama wa makao makuu naona leo umekuja na povu kama la muroto,dom idodomya....
Mpaka isanga umepajua kweli uko vizuri.
 
ana sura chachu kama vile katafuna mbegu ya limao... miguu yake kama vile ana kimbia mchaka mchaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala hujakosea kasuka nywele wala hazijampendeza,
halafu yeye na mmewe wala hawaendani sio type yake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wala hujakosea kasuka nywele wala hazijampendeza,
halafu yeye na mmewe wala hawaendani sio type yake
hahaha wanawake mnakazi kweli kweli
 
Mimi mwenyewe naishia kuisikia kwenye media tu..hahaa
Kwa mara 1 nilikatiza sehemu nikasikia harufu nikauliza nini hiyo wakanicheka eti hujui hiyo kitu mie alaa kumbe!
 
Kwa mara 1 nilikatiza sehemu nikasikia harufu nikauliza nini hiyo wakanicheka eti hujui hiyo kitu mie alaa kumbe!
hahaha mimi naijua but to be honest ladha yake siitambui. na sio hiyo tu binafsi siijui ladha ya kilevi chochote kile
 
hahaha mimi naijua but to be honest ladha yake siitambui. na sio hiyo tu binafsi siijui ladha ya kilevi chochote kile
Hongera na ni vizuri kwahiyo wewe hapo ukitoka ni mwendo wa vyuku na nyama choma tu
 
Back
Top Bottom