Hivi tako feki linakuwaje??
Kubwa Sana Kama hayo kwenye picha, halafu hayana balance nzuri na mwili. Unakuta matako makubwa ila mwili mdogo, au mwili na matako makubwa ila miguu midogo. Labda mwili na matako yote viwe vikubwa hapo sawaHivi tako feki linakuwaje??
ᴸᵉᵍᵉⁿᵈᵃʳʸ [emoji377]
Wew mzaramoTz: asee una picha bana za matako duuh...