Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Maamuzi ya mwisho ndio yataleta matokeo hasi ama chanya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna best angu mmoja yeye na mmewe ni kama familia ya kambale.... yani wote wana ndevu, wakianza kuzichapa sasa, ni mawe wanarushiana kama hawajuani, baada ya wiki wanauguza majeraha, wakipona penzi lipo pale pale.Mmh thubutu ukiona hivo mmoja anajitutumua lakini anafuata maagizo kimyakimya
Na ukiwa mbabe mwenzako atakuwa mnyonge tu ila utachapiwa kinyama.Ukiendekeza demokrasia kwenye mahusiano utapata tabu sana
Yuko hapo juu ebu mchekMkuu kuna mtu kajitokeza kubisha hii hoja?
Ukae kwa kutuliaSijakuelewa, unamaana kwamba
Bila kusikilizana hamtaweza kwenda pamoja. Na ni ngumu katika mahusiano ukawa juu muda wote au kiongozi muda wote, kuna muda utahitaji msaada wa mwenzako akuongeze.Siongezi neno wala kupunguza.
Mahusiano ya kusikilizana huwa nikuongopeana. Ukweli wa mahusiano yanayodumu ni yale mmoja lazima amsikilize mwingine.
Mfumo wa mahusiano ulivyo ni wa HEAD and TAIL! (Kichwa na mkia)
Treni hata kama ina vichwa viwili lakini shuruti kimoja lazima kiwe mkia ndo kuwepo na mwendo.
Ndivyo ilivyo kwenye mahusiano hasa ukileta harakati kwenye mapenzi hutoboi.
"HIVYO NDIVYO YANASEMA MAHUSIANO"
Kama mmoja atamsikiliza mwenzake basi kutakuwa na nguvu ya ukandamizaji hapo , mfano mimi niwe na girl frnd harafu niwe namuamlia kwa kila kitu yeye ni wakunisikiliza tu unadhani si kutakuwa na mambo mengine namkandamizaUkae kwa kutulia
Mwamuzi ni nani?Kama mmoja atamsikiliza mwenzake basi kutakuwa na nguvu ya ukandamizaji hapo , mfano mimi niwe na girl frnd harafu niwe namuamlia kwa kila kitu yeye ni wakunisikiliza tu unadhani si kutakuwa na mambo mengine namkandamiza
Ndo hapoMahusiano ayataki dipromasia ukileta dipromasia utaleta uzi wa kulalamika tu humu mara wife amenipiga kibao!!!! Unaanzaje kupigwa kibao!!!!