Top gan simjui em nipecopie thread yake moja hpaWewe na top gun ni mtu mmoja sio?
Sawa tu ahsante, ila angalia ipo siku ntakufumua matopeWewe ni kichaa kabisa period
Hapana I don't have any relationship with him,Nada zenu hufuatana zikafanana maudhui top gun akijifanya kuuliza halafu baadae kifulu anaanzisha mada ya kukanusha.motive ni kujifunza kujaribu,kutania au shida nini?
Kule kwa Davista Mata Youtube kuna Dogo anatoa ushuhuda alienda kwa mganga apate mambo mazuri.Utajiri una mambo mengi magumu na mwisho wa siku unakuja kuangukia pua au kupoteza watu wako wa muhimu.
Ukienda kwa mganga usimwabie nataka utajiri ila mwambie nataka mambo yangu yaende kila naposhika pakubali watu wanipende nipate riziki
Alafu mwambie unataka kuchinja hasa mbuzi
Huwezi kufanikiwa bila kuchinja.
Mafanikio utakayo yapata hapo ndio yatakupa utajiri ila usiende na lengo la kuwa tajiri.
Na nyie jobless nendeni kwa waganga muingie mikataba na majini muyaahidi kuyapa kafara ya mbuzi kwa muda Fulani ili yawatafutie ajira .
Ni njia rahisi sana kutoboa
Ahsante
Hahaha that is so badKule kwa Davista Mata Youtube kuna Dogo anatoa ushuhuda alienda kwa mganga apate mambo mazuri.
Usiku wa maanane wakaenda porini wakakutana na Beberu la mbuzi limesimama chini ya Mti, likamwingilia Dogo Nyuma.
Dogo mambo yakaenda vizuri lakini hadi leo hajasahau maumivu ya lile buzi
Sio mbuzi hata wewe naweza kukuchinjaHivyo na wewe ushachinja huyo mbuzi?
Lol.Sio mbuzi hata wewe naweza kukuchinja
JfNada zenu hufuatana zikafanana maudhui top gun akijifanya kuuliza halafu baadae kifulu anaanzisha mada ya kukanusha.motive ni kujifunza kujaribu,kutania au shida nini?
Sema ng'ooooooohLol.
Ni pm nakupa namba Bure bila malipo kama utaamua kunilipa sawa piaweka namba ya mganga mmoja anayepatikana nyanda za juu ,mambo yashakua tight ngoja nijaribu huku pia
Mbona madaktari wengi wanakufa na magonjwa??Jiulize kwann Mganga anashindwa wapa utajiri huo ndugu zake Hali wangali ni masikini.