- Thread starter
- #21
Baada ya mwezi, mtaji wote utakufa na hela yako hutojua ilikwenda wapi.Hiyo pesa ya mbuzi si bora hata ukanunue boxer za bei ya jumla uuze rejareja pembezoni mwa barabara kuliko kwenda kumpa mganga kitoweo.
Badilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya mwezi, mtaji wote utakufa na hela yako hutojua ilikwenda wapi.Hiyo pesa ya mbuzi si bora hata ukanunue boxer za bei ya jumla uuze rejareja pembezoni mwa barabara kuliko kwenda kumpa mganga kitoweo.
Kwa fikra hizo utakuwa fukara mpaka mauti yatakapokukuta.Baada ya mwezi, mtaji wote utakufa na hela yako hutojua ilikwenda wapi.
Badilika
Sawa tajiri mpka mauti yatakapo kukutaKwa fikra hizo utakuwa fukara mpaka mauti yatakapokukuta.
Acha ushirikina kijanaUtajiri una mambo mengi magumu na mwisho wa siku unakuja kuangukia pua au kupoteza watu wako wa muhimu.
Ukienda kwa mganga usimwabie nataka utajiri ila mwambie nataka mambo yangu yaende kila naposhika pakubali watu wanipende nipate riziki
Alafu mwambie unataka kuchinja hasa mbuzi
Huwezi kufanikiwa bila kuchinja.
Mafanikio utakayo yapata hapo ndio yatakupa utajiri ila usiende na lengo la kuwa tajiri.
Na nyie jobless nendeni kwa waganga muingie mikataba na majini muyaahidi kuyapa kafara ya mbuzi kwa muda Fulani ili yawatafutie ajira .
Ni njia rahisi sana kutoboa
Ahsante
Mkuu vipi habariNi pm nakupa namba Bure bila malipo kama utaamua kunilipa sawa pia
HeheheNada zenu hufuatana zikafanana maudhui top gun akijifanya kuuliza halafu baadae kifulu anaanzisha mada ya kukanusha.motive ni kujifunza kujaribu,kutania au shida nini?
Inamana hujijuiTop gan simjui em nipecopie thread yake moja hpa
Sawa Mungu tumekusikia,, wewe ndio umeumba ulimwengu hautakufa.Kwa fikra hizo utakuwa fukara mpaka mauti yatakapokukuta.
Oya dogo sio kila mahala unatakiwa kupost, we mshamba wa wapi?Inamana hujijui
Hata mganga anarogwa matusi ni kipimo shule ndogoMbona madaktari wengi wanakufa na magonjwa??
Mbona ndugu wa madaktari wengi wanakufa na magonjwa??
Tumia akili bwege wewe
NonsenseWhat's going on here.....🤔
🤣🤣🤣 mtoa mada ni kichaaHiyo pesa ya mbuzi si bora hata ukanunue boxer za bei ya jumla uuze rejareja pembezoni mwa barabara kuliko kwenda kumpa mganga kitoweo.
View attachment 3239256
Anaeombwa dawa ya utajiri yeye mwenye kapuku.
Ongezea nyama kidogo mkuuKule kwa Davista Mata Youtube kuna Dogo anatoa ushuhuda alienda kwa mganga apate mambo mazuri.
Usiku wa maanane wakaenda porini wakakutana na Beberu la mbuzi limesimama chini ya Mti, likamwingilia Dogo Nyuma.
Dogo mambo yakaenda vizuri lakini hadi leo hajasahau maumivu ya lile buzi
🤣🤣 utafumuliwa wewe na mganga ili akupe dawa ya kuokota helaSawa tu ahsante, ila angalia ipo siku ntakufumua matope
Yanga inacheza bibie nipe matokeoLol.
🤣🤣🤣🤣🤣Hivyo na wewe ushachinja huyo mbuzi?
Unajifanya kupoteza watu maboya sio.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mtoa mada ni kichaa