NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Sisemi kitu hapa🤣🤣🤣 mtoa mada ni kichaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisemi kitu hapa🤣🤣🤣 mtoa mada ni kichaa
Mi nimeuliza tu ila sifa ya Mganga mzuri ni kupiga ramli.RAMLI HAIDANGANYI.Mkuu mbona unaiweka katka utapeli nisio ujua.
Kwwli jf ilivyopana hivi unadhani kila mtu ana mawazo ya kufanana
Niwie radhi tafadhari
Jf
Utajiri una mambo mengi magumu na mwisho wa siku unakuja kuangukia pua au kupoteza watu wako wa muhimu.
Ukienda kwa mganga usimwabie nataka utajiri ila mwambie nataka mambo yangu yaende kila naposhika pakubali watu wanipende nipate riziki
Alafu mwambie unataka kuchinja hasa mbuzi
Huwezi kufanikiwa bila kuchinja.
Mafanikio utakayo yapata hapo ndio yatakupa utajiri ila usiende na lengo la kuwa tajiri.
Na nyie jobless nendeni kwa waganga muingie mikataba na majini muyaahidi kuyapa kafara ya mbuzi kwa muda Fulani ili yawatafutie ajira .
Ni njia rahisi sana kutoboa
Ahsante
Ndondo,bin chandimuWote nendeni mbele Mimi huku nyuma hapiti mtu
View attachment 3239322
Ni pm nakupa namba Bure bila malipo kama utaamua kunilipa sawa pia
Huyo kuku hawezi dondoka? huwa kuna force gani inamzuia asidondoke?Hiyo pesa ya mbuzi si bora hata ukanunue boxer za bei ya jumla uuze rejareja pembezoni mwa barabara kuliko kwenda kumpa mganga kitoweo.
View attachment 3239256
Anaeombwa dawa ya utajiri yeye mwenye kapuku.
hivi huwa hazidanganyi zile?Mi nimeuliza tu ila sifa ya Mganga mzuri ni kupiga ramli.RAMLI HAIDANGANYI.
Ile kama ni mganga mkweli CT scan haikamatihivi huwa hazidanganyi zile?
Kwanini Professor ana watoto vilaza na wazazi wake hawajui kusoma na kuandika?Jiulize kwann Mganga anashindwa wapa utajiri huo ndugu zake Hali wangali ni masikini.
Mwalimu tu wa shule ya msingi amewafundisha watu ni mawaziri lakini hata ubalozi hana.kila mtu na sahani yake.Kwanini Professor ana watoto vilaza na wazazi wake hawajui kusoma na kuandika?
Hatari sana.Ndondo,bin chandimu
Ufukara sio lazima uwe wa kipato. Hata kiimani unaweza ukawa fukara huku ukiona una pesa.Sawa tajiri mpka mauti yatakapo kukuta
Sawa Mungu tumekusikia,, wewe ndio umeumba ulimwengu hautakufa.
Nilijua tu kumbe hohehahe tu. Kaozee huko kwenye ignore list.
🤣🤣🤣🤣Tukikuwahi utapona