Usiende kwa mganga kutaka utajiri ila kamwambie hivi...!!

Acha ushirikina kijana
 
Inamana hujijui
Oya dogo sio kila mahala unatakiwa kupost, we mshamba wa wapi?
Halafu we ni student, wenzako wako class wanakremisha , wewe unafanya nini humu kwenye mitandao ..kwanza umejiunga 2025..jifunze kubalance kimbelembele.
 
Ongezea nyama kidogo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…